Ingekua ni kuvutia wanaume wote tungerudi kwenye kuwa natural..We ndo umepaniki, kuja kulalamikia mawigi ya mwanamke, kama ulikuwa hujui sio mara zote wanawake wanajiremba kwa ajili ya wanaume hiyo ni psychology ya wanawake... They are competitive among themselves.
Hata ningekuwa nimelivaa wewe halikuhusu, hata liwe la kijani teh teh
Kama mimi nlivoathirika na kukata.Ushaathirika kisaikolojia kwa Uvaaji wa Hiyo midude kwahiyo hata uambiwaje huwezi kuelewa. Bila shaka una matuta ya Viazi kichwani
hongera sana bibie hakika ww ndio mke wa kuoaKama mimi nlivoathirika na kukata.
Napenda niwe na nywele za kufunga ki pony tu.
Ingekuwa Tanzania Kuna biashara ya kuuza nywele baada ya kuzikata mbona nngekua tajiri.
Asante.hongera sana bibie hakika ww ndio mke wa kuoa
Nilikuwa napiga porojo tu bestie..Wala siko hivyo tehHahahaa unavijembe sana bestie...watu kama nyiee ni wachunguzi wa vitu vidogovidogo hamfai
Nakuelewa sana bibie natamani wale mabingwa wa kunyoa nyusi na kikoleza na wanja wapite hapa wakusome. Unakuta wigi lina mwezi kichwani harufu ndio usiseme lakini unamkuta mwanadada Hajali hilo. ni kweli ulilosema kuwa Wengi hawajiamini na hawaamini urembo waliopewa na MUUMBAAsante.
Ni kujiamini tu. Kama ntaambiwa siendi na wakati pia Sawa.
Kuna na ule mtindo wa kunyoa nyusi th.en wakaweka na wanja. Sijui nani kawadanganya kama wanapendeza wanawake wenzangu. Mi hapana aisee
Yaani mtu anaenyoa nyusi nachukia sana kitendo hicho. Mke wangu hajawahi kufanya hicho kitu na nilimwambia sitaki kuona wala kusikia kuwa amenyoa nyusi. Jitu kama hilo likitoka kuoga nadhani litakuwa linaonekana kama shetani hiviAsante.
Ni kujiamini tu. Kama ntaambiwa siendi na wakati pia Sawa.
Kuna na ule mtindo wa kunyoa nyusi then wakaweka na wanja. Sijui nani kawadanganya kama wanapendeza wanawake wenzangu. Mi hapana aisee
Ha ha haaaaa.Yaani mtu anaenyoa nyusi nachukia sana kitendo hicho. Mke wangu hajawahi kufanya hicho kitu na nilimwambia sitaki kuona wala kusikia kuwa amenyoa nyusi. Jitu kama hilo likitoka kuoga nadhani litakuwa linaonekana kama shetani hivi
Mi nimejifunza kwa mamaangu.Nakuelewa sana bibie natamani wale mabingwa wa kunyoa nyusi na kikoleza na wanja wapite hapa wakusome. Unakuta wigi lina mwezi kichwani harufu ndio usiseme lakini unamkuta mwanadada Hajali hilo. ni kweli ulilosema kuwa Wengi hawajiamini na hawaamini urembo waliopewa na MUUMBA
Dah!! Kama mama watoto anaweka mpaka mawigi ya rangi namna hiyo kama mchezo shoo , huyo ametisha sana.. pole sana ndugu yangu ,Aiseehhh mimi huwa nakerwa zaidi nahisi, yani mimi na mama watoto wangu ndo ugomvi kila kukicha,namkataza lakin wapi,unakuta wigi la rangi sijuwi kijani, sijuwi pink yani hakuna relation na uhalisia wa nywele za binadamu, siyapendi mawigi na sipendi kumuona alady amevaa
HMi nimejifunza kwa mamaangu.
Na kikubwa nilichojifunza hata noikapendelea kuwa natural ni kutochakaa kwa uso.
Mapodozi yakizidi yanazeesha kwa kweli.
wengi hawalijui hilo wao wanachojua ni kuwa ukijipoa na mavipodozi huku wakisukumia na mawigi basi wanadhani wanaongezeka urembo kuliko malaika kumbe wanazidi kuwa vibibi bila kujijua. Mwanamke anayejikubali alivyo ndio mwanamke sahihi wa kuoa na ndio mwanamke sahihi mwenye hofu na Mungu. Kama umeumwa na chogo ni Upendo na Uumbaji wa Mungu lakini wenzenu wanadhani ndio wataonekana waremboMi nimejifunza kwa mamaangu.
Na kikubwa nilichojifunza hata nikapendelea kuwa natural ni kutochakaa kwa uso.
Mapodozi yakizidi yanazeesha kwa kweli.
Nimekupenda bure.Mi nimejifunza kwa mamaangu.
Na kikubwa nilichojifunza hata nikapendelea kuwa natural ni kutochakaa kwa uso.
Mapodozi yakizidi yanazeesha kwa kweli.
Mwanamke kupendeza kaa na ushamba wakoMwanamke anapendeza na kuvutia zaidi anapokuwa na nywele zake za asili wala sio mawigi. Hiyo ni FACT.
Mawigi yanaboa na yanatupunguzia hisia, mfano pale mwanaume unavyozishika au kujaribu kuzichezea halafu unajua kabisa hizi nywele sio.
Ni kama likofia fulani hivi linalovaliwa au kushonwa kichwani kwa mwanamke, ambayo pamoja na kwamba KIUHALISIA halimuongezei mwanamke mvuto (hata kama ni la Laki Moja), linatakiwa libadilishwe kila baada ya muda fulani.
Wanawake bakini na nywele zenu za asili, zipeni matunzo na usafi wala hamna haja ya kuhangaika na kubadilisha mawigi maana wanaume {99.99%} hatuzipendi. Zinaboa hata kuangalia.
Cha kushangaza, utamkuta mwanamke wa kibongo eti naye anahangaika kuweka liwigi lake vizuri kanakwamba linamzuia kuona vizuri wakati ni FAKE HAIR na yeye mwenyewe kaliweka hivyo kwa makusudi kuiga Wazungu.
Say NO to Fake Hair.