lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Kuna hii tabia unakuta mwanaume umepata pesa lakini mara tu baada ya kupata pesa unampigia mpenzi wako ili muonane uweze kumpatia na yeye pesa ya matumizi lakini shida inakuja pale anapogundua tu umepata pesa atakuambia mkutane sehemu fulani mfano Mlimani City au sehemu yoyote nyingine ambayo watu wanafanya manunuzi ya vitu mbalimbali.
Mkishakutana tu kabla hata hujamkabidhi pesa ataanza mara oooh baby ninunulie hiki mara ninunulie kile kiasi kwamba kama ulipanga kumpa laki tatu karibu laki mbili yote itaishia kwenye kulipia manunuzi ya vitu alivyochukua huku akiwa na matarajio kwamba bado kuna fungu ambalo unataka umpatie.
Binafsi ninachofanyaga nikikutana na tukio kama hili huwa nafanya hivi, kama nilipanga kukupa laki tatu na umeshatumia laki mbili nakumalizia tu laki moja iliyobaki ili usiniharibie bajeti zangu.Haiwezekani kabla hatujakutana uanze kuniongezea bajeti zingine zisizo na kichwa wala miguu.
Wanawake jitahidini kubadilika otherwise mtabadili mabwana kila uchao.Sisi wanaume thamani yenu huwaga tunaiona pale ambapo bado tunakua hatujafanikiwa kuwavua nguo zenu za ndani ila tukishawavua tu mnakua wakawaida sana na tunakua hatuna tena chakupoteza hivyo ni jukumu lenu kuwa waangarifu na tabia zenu.
Povu ruksa
Mkishakutana tu kabla hata hujamkabidhi pesa ataanza mara oooh baby ninunulie hiki mara ninunulie kile kiasi kwamba kama ulipanga kumpa laki tatu karibu laki mbili yote itaishia kwenye kulipia manunuzi ya vitu alivyochukua huku akiwa na matarajio kwamba bado kuna fungu ambalo unataka umpatie.
Binafsi ninachofanyaga nikikutana na tukio kama hili huwa nafanya hivi, kama nilipanga kukupa laki tatu na umeshatumia laki mbili nakumalizia tu laki moja iliyobaki ili usiniharibie bajeti zangu.Haiwezekani kabla hatujakutana uanze kuniongezea bajeti zingine zisizo na kichwa wala miguu.
Wanawake jitahidini kubadilika otherwise mtabadili mabwana kila uchao.Sisi wanaume thamani yenu huwaga tunaiona pale ambapo bado tunakua hatujafanikiwa kuwavua nguo zenu za ndani ila tukishawavua tu mnakua wakawaida sana na tunakua hatuna tena chakupoteza hivyo ni jukumu lenu kuwa waangarifu na tabia zenu.
Povu ruksa
