WANAWAKE ACHENI HII TABIA. INAKERA NA KUTIA KINYAA!!

WANAWAKE ACHENI HII TABIA. INAKERA NA KUTIA KINYAA!!

Non
Hii tabia ya kuweka hela kwenye vifua vyenu(matiti) siyo njema, inakera na inatia kinyaa sana NA PIA INACHAKAZA NOTI. Unakuta unamlipa mwanamke pesa anaikunjakunja anaitia kifuani na chenchi anakutolea hukohuko maziwani ikiwa imeloa mijasho na kutoa harufu..... INAKERA SANA HII TABIA.
bora uko lake zone,wengne wanatunzia section c hao wananiboaga.
 
[emoji23][emoji23][emoji1316]
Umenikumbusha 2002 nikiwa form 1 nilishawahi kudondosha 20,000/= nilipoenda chooni kujisaidia,nilipobebwa kwenye gari la wamachinga toka kijijini kwenda mjini kununua viatu.

Niliificha ile 20,000/= kwenye chupi nikihofia wamachinga wasiniibie, kimbembe kilikuja nilipoingia chooni nilidondosha pesa juu ya kinyesi na kuiokota nikaisafisha vizuri kwa maji ya bombani nikaikausha na kuitumia tena.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ile tabia ya wanaume kuingiza mkono kendeni na kubinyabinya kende(korodani) yani, KUKANDA NGANO, kwa wanaume na wanawake huwa wanajishikashika hivyo au kujitia kidole? Yani umkute mdada kaingiza mkono anafanya yake taratibu.
 
"inatia kinyaa"

Ila kwenye yale mambo akikupa huku hajaoga unayanyonya kama kawaida na chumvini unazamia kabisa.

Hauna tofauti na yule anayeona kinyaa kusuuza kikombe kwa bomba la bafuni akiAmini ni uchafu lakini anaweza kukinga hayo hayo maji kusukutulia mdomo anavyoswaki.
😂😂😂😂😂😂 hii nimeipenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom