tax compliant
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 1,211
- 1,200
Acha ujinga mkuu, wakati wa kunjunja mbona hupati kinyaa? Ni sawa na kuingia chooni unaacha maji ya kunywa nje ila unaingia na mdomo.
Sawa na anayemaliza kunywa maziwa afu akamaliza na kusuuza kikombe kile kile ili ashushie maziwa, bila ya kujua vyote ni vinywaji na vinaenda tumboni kupitia mdomo wake huo huo.Sawa na mtu anayesema kuingia na kikombe bafuni au chooni ni uchafu bila kukumbuka kuwa ameingia na mdomo wake pia
Umenikumbusha 2002 nikiwa form 1 nilishawahi kudondosha 20,000/= nilipoenda chooni kujisaidia,nilipobebwa kwenye gari la wamachinga toka kijijini kwenda mjini kununua viatu.Hakuna kitu kichafu tunachopeana kama hela
Mimi nikizitoa tu sarafu au noti mfukoni lazima ninawe na sabuni
Huwa unatembea na kidumu cha maji na sabuni?Hakuna kitu kichafu tunachopeana kama hela
Mimi nikizitoa tu sarafu au noti mfukoni lazima ninawe na sabuni
Jiwe gizani unakuta baba na heshima zake linajikuna kariakoo kwenye umati wa watu.Wanaume muache kujifunza kuna nanlii mabarabarani.
Why msijikune kabisa kabla ya kutoka home?
#sredizabalimizishaanzamapemaaaaaa🙄🙄🙄🙄🙄
Acha kuwasema vibaya Baba zako waliokuleta duniani wewe, hala![emoji57]Jiwe gizani unakuta baba na heshima zake linajikuna kariakoo kwenye umati wa watu.
Hahahahunamkuta Nyerere kwenye noti ya 1000 ameshiba kunyonya maziwa
😅😅😅Naona umejileta swali langu ni hili ile kwenu ni tabia au ni kaugonjwa maana huwezi kupishana na wanaume watatu wawili wasishike kunako 😎😎😎Acha kuwasema vibaya Baba zako waliokuleta duniani wewe, hala![emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28]Naona umejileta swali langu ni hili ile kwenu ni tabia au ni kaugonjwa maana huwezi kupishana na wanaume watatu wawili wasishike kunako [emoji41][emoji41][emoji41]
Yaishe kakaMbona hujawahi kuwaambia/kuwauliza hata siku 1 hadi upigwe na jiwe kama hili gizani ndipo uniulize?
Sent using Jamii Forums mobile app
sijamaanisha ni lazima awe mkeo mkuu, ila ambae uko kwenye mahusiano nae au mama huwezi kuwa na kinyaa nae.Kwani wanawake tunaookotaga barabarani kwenda kulalala nao huwa wanakuwa wake zetu mkuu?
Ukiona mtu ana kinyaa basi fahamu hawezi kuwa msafi kwasababu atakuwa anaona kinyaa akiwa katika jitihada za kupambana na uchafu.
I am very certain kwamba hao wanawake unaowaongelea hawako Humu jfHii tabia ya kuweka hela kwenye vifua vyenu(matiti) siyo njema, inakera na inatia kinyaa sana NA PIA INACHAKAZA NOTI. Unakuta unamlipa mwanamke pesa anaikunjakunja anaitia kifuani na chenchi anakutolea hukohuko maziwani ikiwa imeloa mijasho na kutoa harufu..... INAKERA SANA HII TABIA.
Akili zako unazijua mwenyeweunamkuta Nyerere kwenye noti ya 1000 ameshiba kunyonya maziwa
Yaani halafu alivyokazana.Jiwe gizani unakuta baba na heshima zake linajikuna kariakoo kwenye umati wa watu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 duuhunamkuta Nyerere kwenye noti ya 1000 ameshiba kunyonya maziwa