Wanawake: Acha moyo wako uongee

Wanawake: Acha moyo wako uongee

Kama unataka wanaume wenye pesa shurti ujiongeze maana ushindani mkubwa ukingoja akutongoze utangoja sanaa maana watu wanajilengesha daily. Sema sasa wengine nunda kitu kidogo tu unasikia KWANZA ULINITONGOZA MWENYEWE. Hahahaaaa. Yataka moyo.

Humtongozi perse ila unatoa INVITATION TO TREATY.
Mbona sisi watoto Wa wakulima wadogowadogo unatutenga..Sisi hatupaswi kutongozwa??...Halafu kama kujilengesha mi naona bora ujilengeshe mazima tu..Kwani sh ngapi?...Unaweza kutoa hiyo invitation na MTU akashindwa kujiongeza...
 
We jamaa huwa unanichekesha sana leo. Kwenye uzi mmoja unemjibu mtu nilicheka kwa sauti kubwa sana lol! Hadi sasa nikikumbuka bado nacheka. Usiniulize uzi upi. 🙂🙂

Mwanaume hakataagi nyapu
 
Mbona sisi watoto Wa wakulima wadogowadogo unatutenga..Sisi hatupaswi kutongozwa??...Halafu kama kujilengesha mi naona bora ujilengeshe mazima tu..Kwani sh ngapi?...Unaweza kutoa hiyo invitation na MTU akashindwa kujiongeza...

Mi si unajua sio mdau wa FREE P. Afu nyie wakulima since you bring nothing to the relation it is fair you take some afforts. Kula kwa mwenye nazo sio naacha moyo uongee, all the efforts ni za kuganga njaa yangu. So its fair hata kama nauuza utu wangu poa tu, hata kama nautoa kafara uanamke wangu familiah, maadamu najua ni for greater cause. Absoulotely worth the efforts.
 
Toka nizaliwe sijawahi kumkatalia mwanamke aliyenitaka kimapenzi hata km muonekano wake ni utata


Wanawake wanajua sn kutongoza
Unamkata liache sasa wakat na yy
Anataka haki yake

Tena ukitongozwa na katoto
Kalikotulia bhn unainjoy
Co mchezo
 
She is very open and try to express wat she real feel ..very few gal can be like that one, they always wait for us men to start, bt every one is free to express his/her feelings to one he or she is attracted to.......that's all
 
Wanawake Mambo ya kufa na tie shingoni sio mpango..We kama unampenda mtu mfwate na utiririke ya moyoni sio lazima mpaka uanzwe...We jishushe zen make a move..Yeah..Sometimes u nid to put your pride aside and follow your heart..
To lose pride over someone u love sio kitu mbaya...

Sasa Unamkuta mtu kakondeana utasema anafanya russian air force diet kumbe ni mawazo ya mapenzi yanampelekesha..Shida yote ya nini sasa

Huyu dada nimempenda gafla aisee..Full mikonfidenga..
We unaichukiliaje hii
huyo dem cnythia mpigaji kanajifanya kako bot!;insta fb kik nyingi mtu wa kulenga!
sema kake flan km huda hv!
 
Yani msichana wa kuandika hivyo akinitongoza hata awe sepetu sikubali. Si unachoka na kusoma hizo sms.
 
Mkuu huyo mtoto katiririka hatari, ila kwa wanaume wengi KE akijilengesha kama huyo unapita naye na 120 then unaendeleaje na yako
 
Mkuu mwanaume Wa hovyo ni hovyo tu..Hata kama yeye ndo atakutongoza still anaweza kukuongelea vibaya..Hata wanawake Wa hivyo mbona wengi tu ila wanaume bado tunakomaa..
Huo ujasiri wa hivyo unipite tu mbali, mwanaume anipende mie nitaendeleza pendo hilo
 
Mwandiko unaleta uvivu huo na hivi uzee unanijia ki mwendo kasi
 
Most women are notorious Heartbreakers ,,! Watch out guyz,,,,!
 
Back
Top Bottom