Machawa ya ccm, yakitoka hapo hayana ajira yanatakiwa yaende VetaWakuu!
Wanavyuo wa mkoa wa Iringa ambao pia ni Wanachama wa Kampeni ya 'Mama Asemewe' katika kongamano kubwa la wanavyuo lililofanyika katika mkoa huo lililobeba jina la Kongamano la Tafakuri ya Wasomi na Miaka minne ya Rais Samia.
Muhadhiri mwandamizi unatakiwa uwe mstari wa mbele kuwaongoza vijana katika njia sahihi kuelekea Oktoba 2025😃ndezi kweli we gentleman🤣
yaani muhadhiri mwandamizi niwe mwanafunzi tena ghafla?🐒
Siyo Kwa wanafunzi ninaowafahamu mimi hao ni wale wanaosombwa na magari kutoka vijijini wanamwagwa vyuoni kuhudhuria ziaraWakuu!
Wanavyuo wa mkoa wa Iringa ambao pia ni Wanachama wa Kampeni ya 'Mama Asemewe' katika kongamano kubwa la wanavyuo lililofanyika katika mkoa huo lililobeba jina la Kongamano la Tafakuri ya Wasomi na Miaka minne ya Rais Samia.
hayo ni majukumu ya watu wa aina kama vile heche au lema.Muhadhiri mwandamizi unatakiwa uwe mstari wa mbele kuwaongoza vijana katika njia sahihi kuelekea Oktoba 2025😃