FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,179
FaizaFoxy njoo uone MziziMkavu anaifananisha ardhi takatifu na mbwa
Hiyo picha inauwa kisa fulani.
Ardhi haiitwi Saudi, Saudi ni jina la ukoo.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
FaizaFoxy njoo uone MziziMkavu anaifananisha ardhi takatifu na mbwa
Ww km ni mvivu wa kusoma vitabu na majarida na mufatilia history ndo waweza sema hivo na hata kukuelimisha itakua ni ngumu maana umesha weka udiniKaka huwezi kuijua Saudia kama huujui uislamu...Uhalisia wa nchi za kiislamu hasa za kiarabu na magharibi huwezi kuujua kupitia katuni,kupitia vyombo vya habari,kupitia siasa za kidemokrasia.
Na hakuna nchi ya magharibi inayoweza kuichezea akili nchi saudia.Naijua saudi kwa mizani ya kielimu.Mnaochezewa akili ni nyie msioujua uislamu na nchi ya Saudia.
Ushawahi kusikia vita vikipiganwa nchini Saudia ? Ukipata jibu usisite kuniambia....
Oman ni koloni la Waingereza amka wewe.Usijumuishe waarabu wote,mbona yupo Oman,ni nchi ambayo haiendeshwi wala kufuata msimamo wa nchi yoyote.Hakuna mgigoro wala vurugu.Mfalme wa Oman,toka yupo mzima wa Afya mpaka sasa anaunwa,nchi iko vizuri tu.
Aiseee na kweli mkuuuNilijua Ni Sisi Tupo Wa Afrika Ndio Tupo Ovyo Ovyo Kumbe Hata Mwenzetu Nao Ndio Ivyo Ivyo
Waiter Zungusha Tena
Kuna mengi watu hawajui... Ukipata nafasi semaaaaaaKaka huwezi kuijua Saudia kama huujui uislamu...Uhalisia wa nchi za kiislamu hasa za kiarabu na magharibi huwezi kuujua kupitia katuni,kupitia vyombo vya habari,kupitia siasa za kidemokrasia.
Na hakuna nchi ya magharibi inayoweza kuichezea akili nchi saudia.Naijua saudi kwa mizani ya kielimu.Mnaochezewa akili ni nyie msioujua uislamu na nchi ya Saudia.
Ushawahi kusikia vita vikipiganwa nchini Saudia ? Ukipata jibu usisite kuniambia....
Unatumia Kinywaji Gani.....??Aiseee na kweli mkuuu
Acha mbwembwe ww, si juzi hapo wamezuia waislamu kuingia kuhiji kisa mgogoro unaoendelea, au uislamu wa saudia ni bora sana kuliko uislamu wa qatar. Kama Saudia yupo vizuri hata kufikilia na anapenda amani zile silaha alizoagiza marekani za nn, kama saudia hapendi vita kinachoendelea kati yake na Irani ni nn, hiyo katuni inajidhihirisha namna gani mataifa makubwa yanatumia akili nyingi kuwagombanisha ukumbuke huu mgogoro umeanza mapema tu baada ya saudia kuwa karibu na Trump, sasa ww endelea kuifahamu vizuri saudia na Uislamu wake.Kaka huwezi kuijua Saudia kama huujui uislamu...Uhalisia wa nchi za kiislamu hasa za kiarabu na magharibi huwezi kuujua kupitia katuni,kupitia vyombo vya habari,kupitia siasa za kidemokrasia.
Na hakuna nchi ya magharibi inayoweza kuichezea akili nchi saudia.Naijua saudi kwa mizani ya kielimu.Mnaochezewa akili ni nyie msioujua uislamu na nchi ya Saudia.
Ushawahi kusikia vita vikipiganwa nchini Saudia ? Ukipata jibu usisite kuniambia....
Ndio hivyo tena!!!
Waarabu hawana akili kazi yao kubwa ni kustarehe na wanawake Mambo ya Siasa hawajuwi ndio maana wanapenda kumsikiliza bwana wao mkubwa M-Marekani.Waarabu Wataendeshwa na Marekani na nchi za Ulaya Magharibi mpaka mwisho wa dunia.
shule na maarifa vikikosekana! athari yake ndio hiyoHiyo picha imebeba uhalisi wa mgogoro unaoendelea kati ya Qatar na Saudi,japo huwa nashindwa kuelewa kabisa kwanini hizo nchi zinashindwa kuling'amua hilo????!!!!!.
shule na maarifa vikikosekana! athari yake ndio hiyo