Life2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,377
- 4,847
Ndio wanausalama ni watu muhimu sana hapa nikimaanisha majeshi yote kwa nchi yetu mfano JWTZ, jeshi la
Polisi, Usalama wa Taifa...nk
Hawa watu wanahitaji sana maombi yetu na upendo wetu wakienenda katika yaliyo haki i mean kulinda mipaka ya nchi, rasilimali za nchi pamoja na sisi raia.
Ndio ogopa sana mtu aliyekula kiapo cha kufa kwa ajili ya kukulinda wewe na nchi yako, hebu fikiri wakati wewe umejficha ndani ya bomb shelter/bunkers hawa jamaa watakua frontline wakikabiliana na adui uso kwa uso.
Bila kujali adui ana silaha gani za kisasa ila tambu hawa wana usalama wetu ndio watakua wanapambana nao, chukulia mfano vita ya Kagera wanausalama wetu walijitoa kwa ari na mali kuipambania nchi yetu.
Heshimu sana mtu wakati wewe umelala fofofo yeye yupo macho na silaha nzito mkononi kuhakikisha unalala salama bila usumbufu wowote akipigwa na baridi kali hata kama kuna barafu
Mfano naangalia pale Ukraine wakati huu kuna barafu kali na baridi ila wanajeshi wa Ukraine bado wanapambana kwa ajili ya nchi yao wote wakike nawa kiume.
Nao kama binadamu wana mapungufu yao ila wanayoyafanya ni makubwa sana bado wanahitaji Upendo na sala zetu kwa wingi.
Ndio heshima ziende kwa vyombo vyote vya ulinzi vinavyohakikisha nchi yetu ipo safi mpaka leo natambua sio kwamba nchi yetu haina maadui ila kwa weledi wenu mnawatambua mapema na kudili nao mapema.
#Hongereni sana
Ni mimi mpenda amani na raia mwema....
Polisi, Usalama wa Taifa...nk
Hawa watu wanahitaji sana maombi yetu na upendo wetu wakienenda katika yaliyo haki i mean kulinda mipaka ya nchi, rasilimali za nchi pamoja na sisi raia.
Ndio ogopa sana mtu aliyekula kiapo cha kufa kwa ajili ya kukulinda wewe na nchi yako, hebu fikiri wakati wewe umejficha ndani ya bomb shelter/bunkers hawa jamaa watakua frontline wakikabiliana na adui uso kwa uso.
Bila kujali adui ana silaha gani za kisasa ila tambu hawa wana usalama wetu ndio watakua wanapambana nao, chukulia mfano vita ya Kagera wanausalama wetu walijitoa kwa ari na mali kuipambania nchi yetu.
Heshimu sana mtu wakati wewe umelala fofofo yeye yupo macho na silaha nzito mkononi kuhakikisha unalala salama bila usumbufu wowote akipigwa na baridi kali hata kama kuna barafu
Mfano naangalia pale Ukraine wakati huu kuna barafu kali na baridi ila wanajeshi wa Ukraine bado wanapambana kwa ajili ya nchi yao wote wakike nawa kiume.
Nao kama binadamu wana mapungufu yao ila wanayoyafanya ni makubwa sana bado wanahitaji Upendo na sala zetu kwa wingi.
Ndio heshima ziende kwa vyombo vyote vya ulinzi vinavyohakikisha nchi yetu ipo safi mpaka leo natambua sio kwamba nchi yetu haina maadui ila kwa weledi wenu mnawatambua mapema na kudili nao mapema.
#Hongereni sana
Ni mimi mpenda amani na raia mwema....