interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Kuna tofauti kubwa sana kati ya upendo na tamaa ndiyomaana huwa tunakuwa hivyo.Wanaume bhna sjui kwann tuko ivi yani kiukweli wanaume wengi hupenda wake zao wavae vizuri yaani isiwe nusu uchi but akikutana na alievaa nusu uchi humtamani balaa