agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,412
- Thread starter
- #61
Nisamehe babe😭😭😭😭sijui utumie mbinu gani kuniomba msamaha nikuelewe... yaani unasema mbele yangu kuwa uko single ili iweje?
Nisamehe babe😭😭😭😭sijui utumie mbinu gani kuniomba msamaha nikuelewe... yaani unasema mbele yangu kuwa uko single ili iweje?
msamaha wangu hautoki hivi hivi nakuchemshia dawa yako.Nisamehe babe😭😭😭😭
Daaah!! Basi hujanisamehemsamaha wangu hautoki hivi hivi nakuchemshia dawa yako.
Unafeli wapi wakati nami nipoSina mkuu
nimekusamehe mama, bila wewe tena maisha kwangu changamoto.Daaah!! Basi hujanisamehe
Hutaki kufunguka🤷♀️🤷♀️Unafeli wapi wakati nami nipo
Unaemzungumzia pia n kahaba siyo mke.Nazungumzia matembezini na mnatumia usafiri wa uma
Huyu troublemaker ataniachia kweliHutaki kufunguka![]()
asante mpenz 😘 😘 🥰🥰nimekusamehe mama, bila wewe tena maisha kwangu changamoto.
Huyu troublemaker ataniachia kweli
asante mpenz![]()
![]()
![]()

Samahani mkuu, nisije ng'olewa kuchanakuzooom tu
sio kucha tu unaweza poteza hicho kinachokupa kiburiSamahani mkuu, nisije ng'olewa kucha
Ni wivu tu
wanaume wametofautiana kuna wanaopenda mionekano ya kikahaba yaan anakua na mke kama shangingi..pete mbilimbili gauni mapaja nje kope kama za mdoli..akiwa njian utahisi ni kamalaya flan kumbe mke ya mtu inakaa uchi tuu njian..Unajisikiaje ukiongozana na mpenzi wako/ mke aliyevaa nusu utupu!?.
Wee hebu niache!! Unataka nikose wachumba humu.?
Ni swali gumu au jepesi kwa jinsi uonavyo wewe Shadeeya ?Daah! Swali zuri lakini cha ajabu Me wengi wameruka ruka.