Teh ilibidi atumie akili ya ziadaDeo aliniambia one Friday amefika nyubani anamkuta wife amevimba akamwambia kila Ijumaa wewe unatoka unarudi Jmosi asubuhi, yaani mimi niko hapa kulea watoto wako tu, mwanaume huonekani. Basi Deo akajua kimenuka leo hakutokeki hapa. Mida ya saa mbili tatu binti akapiga simu, I'm bored, njoo, Deo akamwambia leo siwezi kwenda viwanja, binti akasisitiza njoo basi unipe a good night kiss. Base Deo anasema kwenda kule story zikaanza, mambo ya henessy, mziki, kustuka ni saa 12 asubuhi.
Deo alitoka pale, straight butcher akanunua nyama, akaenda Ferry kusanya samaki, akatafua sato pia, kutoka. Amefika nyumbani wife anatengenezea watoto breakfast hataki hata kumwangalia. Basi Deo akaweka mizigo kwenye sink la jikoni, akaenda kuoga na kulala.
Mke ameingia jikoni anakuta ile mizigo, akaanza kuosha na kuweka kwenye freezer. Baadae akaenda chumbani mwenyewe baba nanii, samahani sikujua kumbe ulikwenda kututafutia sisi, nikutengenezee nini mume wangu. Akajibu supu.
Naomba link ya huo Uzi bibieMy dear,kama mke lazima utakuwa unajua kazi ya mumeo.
Sasa utetezi kama huu sijui utafaa nini.
Na...vile unavyomtreat mume hujenga au kuharibu ndoa.
Mwanaume akurudie asubuhi ati alikuwa anatafuta?
Nawe unachekelea?
Na kumuuliza nikutengenezee nini juu?
Nakumbuka uzi mmoja wa lara 1 aliwahi kusema "Treat a man like a man"
Huu ujinga mnaoulea utawagharimu.
Endeleeni kuangalia watoto mpukutike kwa maradhi.Sio kuwa unakubali kuzidiwa ujanja, unaangalia majukumu uliyonayo na watoto unaamua kuprioritise mkiwa wote wajanja nyasi ndiyo zinaumia.
Tembelea profile ya Lara utafute nyuzi alizoanzisha.Naomba link ya huo Uzi bibie
What if amekuja na brand new ist au Lexus aijafanyiwa registration anaingia nayo huku umenuna anakupa ufunguo utafanyaje.Udhaifu wenu ni zawadi na maneno.Hakuna kitu sipendi kama hicho.
Wanaume sijui wakoje?
Eti akijua kakosea atajikusanya anunue vitu kibao!
Nilivyo nitamtimua navyo....
Ila kuna wanawake wajinga wanavipokea na kuchekelea.
Namna hiyo si atakuwa anafanya makosa akijua atakununulia vitu nawe utapoa?
Mhhhhhhhhh 😛😛😛😛What if amekuja na brand new ist au Lexus aijafanyiwa registration anaingia nayo huku umenuna anakupa ufunguo utafanyaje.Udhaifu wenu ni zawadi na maneno.
Una akili mingi sana. Ungekuwa karibu ningemwambia muhudumu akupe castle bariiidi.Sio ujinga, ndio akili mama.
Kila mtu ana njia mbalimbali za kusema nakupenda ama nimekosa. Ukitaka mumeo aishi kama senema za telemundo utaumia. sio kila mtu atafikiria kununua maua, dhahabu ama kulia machozi akisema nimekosa. Ukimuelewa mwenza wako utaweza kumpima na kufanya maamuzi, including maamuzi magumu
Una akili mingi sana. Ungekuwa karibu ningemwambia muhudumu akupe castle bariiidi.
Nasubiri kipembeni Paw adondoshe mkono.
Ahsanta
Usipolikoka unakuwa na pwenti.Hehehe kwa mwendo huu hadondoshi ng'oo. Hata nikimuona anakuna kichwa najihesabia kaomba msamaha na namsamehe kama ilivyoagizwa na Mungu.
(Tuma hela kwa mpesa nitajiagizia kwa mangi baba)
Usipolikoka unakuwa na pwenti.
Nasubiri namba niende kibandani
HII MBONA KAMA NILIWAHI KUIONA KWENYE STORI ZA NDUMILAKUWILI YULE WA GAZETI LA SANI.Ninamfahamu Deo kwa miaka zaidi ya mitatu sasa tangu ameajiriwa kwenye kampuni yetu, nimfahamu mke wake na watoto kwani katika shughuli za kifamilia mara nyingi ananialika, mke wake ni mcheshi na mrembo.
Deo ananichukulia mimi kama dada mkubwa na mambo yake mengi ya maisha ananishirikisha. Pamoja na kuwa Deo ameoa lakini bado ujana bado mwingi.
J3 moja akawa ananipa story za weekend yaliyotokea, alikwenda club akakutana na binti waliongea na kubadilishana number za simu, binti yule alikuwa ameolewa lakini mume wake ni Journalist kwahiyo anasafiri sana na inaelekea mara nyingi anakuwa mpweke na ndiyo maana anakwenda club.
Urafiki wao uliendelea kiasi cha kuwa Deo alikuwa anakwenda nyumbani kwa binti kila mume wake akiwa amesafiri, walikuwa karibu sana. Sasa kuna siku Deo amekuja kazini ananiambia yule binti amefariki ghafla akiwa usingizini. Kwa ukaribu aliokuwa nao Deo na yule binti nilimuonea huruma sana.
Kitu kilichokuwa kinanisumbua ni kuwa huyu mwanaume amefiwa na mtu wa karibu sana, hawezi kuomba ruhusa kazini kwenda msibani kwani kule hamjui mtu yeyote, watakuwa ni ndugu wa marehemu na ndugu wa mume. Nyumbani hawezi kumwambia mke wake kuwa amefiwa na anaomboleza.
Kuwa mtoto wa kiume kunataka ujasiri.
Ninamfahamu Deo kwa miaka zaidi ya mitatu sasa tangu ameajiriwa kwenye kampuni yetu, nimfahamu mke wake na watoto kwani katika shughuli za kifamilia mara nyingi ananialika, mke wake ni mcheshi na mrembo.
Deo ananichukulia mimi kama dada mkubwa na mambo yake mengi ya maisha ananishirikisha. Pamoja na kuwa Deo ameoa lakini bado ujana bado mwingi.
J3 moja akawa ananipa story za weekend yaliyotokea, alikwenda club akakutana na binti waliongea na kubadilishana number za simu, binti yule alikuwa ameolewa lakini mume wake ni Journalist kwahiyo anasafiri sana na inaelekea mara nyingi anakuwa mpweke na ndiyo maana anakwenda club.
Urafiki wao uliendelea kiasi cha kuwa Deo alikuwa anakwenda nyumbani kwa binti kila mume wake akiwa amesafiri, walikuwa karibu sana. Sasa kuna siku Deo amekuja kazini ananiambia yule binti amefariki ghafla akiwa usingizini. Kwa ukaribu aliokuwa nao Deo na yule binti nilimuonea huruma sana.
Kitu kilichokuwa kinanisumbua ni kuwa huyu mwanaume amefiwa na mtu wa karibu sana, hawezi kuomba ruhusa kazini kwenda msibani kwani kule hamjui mtu yeyote, watakuwa ni ndugu wa marehemu na ndugu wa mume. Nyumbani hawezi kumwambia mke wake kuwa amefiwa na anaomboleza.
Kuwa mtoto wa kiume kunataka ujasiri.
Labda nimesahau, unaijua PM nina hakikaHehehe nimeacha siku hizi. #Hapakazituu
Tuma namba ile ile ya zamani