wanawake wengi wa sasa si waolewaji ni watalii,na ndo maana unakuta mwanamke anatumia vigezo vingi sana kumtafuta mume na WAKAT mwingine anapishana na mwanaume aliyekusudi sahihi,
KWANZA KWA SUALA LA UCHUMI
huwezi ukatumia UCHUMI wa mtu kuwa kigezo cha kuwa mume,pesa huja na kutoweka na wakat mwingine huwezi jua zinaweza zikakutoweka ukiwa Uzeeni,je mwanamke ndo akukimbie,HAPO ndo utaona wanawake wenye KUPeruzi wanavyokimbiaga na kuanza kudharau WAUME ZAO,
PILI SUALA LA KUMJUA MUNGU AU KUTOMJUA NI SUALA NYETI,NIMESHUHUDIA WATU WANAOANA WAPAGANI KABISA NA NDOA ZIKO SALAMA,NA WAKATI MWINGINE UNAKUTA MMOJA KATIKA NDOA NDIO ANAMJUA MUNGU KWAHIVYO NI JUKUMU LA MWINGINE KUMVUTA KATIKA KWELI YA MUNGU,
HOJA YANGU NI HII
1.Tangu mwanzo MUNGU alimpa mamlaka mwanaume amtawale mwanamke
Kama mungu mwenyewe aliamini yakuwa mwanaume anastahir kuitawala dunia,na kila uwezo wa kiroho na kiakil ameumbwa nao tangu unatoka tumboni mwa mama yako mungu amekukabidhi mamlaka hayo,hivyo ni namna gani mwanaume atakavyotumia
2.WANAWAKE WENGI WAMESHINDWA KUKUBAR HALI YA KUTAWALIWA NA WANAUME,NA HILI NDIO TATIZO KUBWA
-Asilimia KUBWA ya ndoa zinayumba KWASABABU WANAWAKE Asilimia kubwa WAMEKUWA wakihitaji kusimama Kama adamu KATIKA NDOA,KITU ambacho NI ngumu sana katika ule mwengu wa kiroho hata ki will,na hii inatokea sana pale mwanamke anapoona yakuwa mwanaume uchumi wake umeyumba AU mazoea ya kumchukulia he is like me,kumbe NI KITU ambacho sicho daima,
Mwanamke anapaswa kumtii mume hata kama uchumi wake uko chini au Hana senti tano mfukoni,
TUJIFIKILIE
MUNGU ALIPOMUUMBA MUME ALIMPA PESA,GARI,NYUMBA,AU MAVAZI?laah,MUNGU alimuumba mwanaume akatengeneza mazingira tu ya yeye kuvitawala vitu alivyompatia,na hivyo adam alipewa uwezo wa kutumia chochote kile kwa maarifa yake,kizur zaid mungu alimuumba mwanamke kuwa msaidi wa mume,na hivyo mwanamke alipaswa kutii mamlaka ya mume,na ndio maana katika NDOA Kama ndoa yenu imewiva,basi Chochote mwanamke atakachokitafuta na kukileta nyumbani mwanaume Ana mamlaka Nacho kuitawala na kimaamuzi,
KWA UCHACHE SANA TUZINGATIE
WAZAZ wetu wa zamani NDOA zao nyingi zilidumu sana na mpaka Leo wengine tunawaona wapo wanadunda na NDOA zao NI kwasababu MMOJA
Wanawake wengi wazamani walikuwa na utii SANA KWA wanaume,Leo HII mwanamke wa Leo hata ukimfokea NI tatizo tayar,sasa mwanamke kama huyu wa nini,???ukimwelekeza AU kumpa maaigizo AU kumfundisha tayar kashanuna,Hii NI shida ya kizaz hiki,DAIMA NAWAMBIA SUALA LA UTAWALA LINASUMBUA FAMILIA NYINGI SANA,NA NDICHO CHANZO KIKUBWA SANA KWAKUWA KAMA UNAMPENDA MUME WAKO BASI UTAMWESHIMU,UTAMSIKILIZA,UTAMTII NA KUWA MNYENYEKEVU NA KUILINDA NDOA YAKO KWA HALI YOYOTE,
WANAWAKE WA LEO AKISHAPATA PESA AU UCHUMI UKIWA JUU YA MUME BASI ANAANZA DHARAU KWA MUME WAKE,USITEGEMEE MUME ATAKUBARI KIRAHISI MAANA HILI NI SUALA LA KIROHO,(Mamlaka)
WENGI WANAOVUMILIA KUMWACHIA MAMLAKA MWANAMKE KATIKA NDOA ZAO HUISH MAISHA YAKUTOJIAMINI,YA HOFU NA KUTOJIONA KUWA NA HAKI KWA MKE...
MKINIHITAJI NITARUDI KWA UFAFANUZI ZAID,,,,,,NAWASILISHA,USIJIBU COMMENT YANGU KAMA HUNA EXPERIENCE NA MASWALA YA NDOA,KAMA UKO KWENYE UCHUMBA AU MAPENZ,PITA HIVI...WANANDOA TU HAPA..TUSAIDIANE