Wanaume wote wanafanana ,wote wanatamani tu

Wanaume wote wanafanana ,wote wanatamani tu

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,122
Reaction score
52,864
Ni ngumu sana mwanamke kupata mwanaume anaekupenda. Wengi wao
Akishakugegeda anawaza kupata k mpya.
Hapo wewe mwanamke ndo ushakufa Na kuoza juu yake. Ukute tena ana kibamia cha Nazi ndo utakoma.
Ukishaona mwanaume hakutafuti kwenye simu ,mawasiliano hayapo hayapo mpaka uanze wewe jiite tu bikra kama Mimi miss .jua huna chako wacha kusumbua watu kuomba ushauri.
Na nyie wanaume mliooa wacheni kutusumbua pambaneni Na machaguo yenu huko.
 
Sio wote

Kaz kwako kutafuta asiye kuwa wa hvo kama mm.

Tena ss tunaopenda tukikutongoja unatutorea nje
Akija player boi unajaa fasta kama yatima vile
Ni ngumu sana mwanamke kupata mwanaume anaekupenda. Wengi wao
Akishakugegeda anawaza kupata k mpya.
Hapo wewe mwanamke ndo ushakufa Na kuoza juu yake. Ukute tena ana kibamia cha Nazi ndo utakoma.
Ukishaona mwanaume hakutafuti kwenye simu ,mawasiliano hayapo hayapo mpaka uanze wewe jiite tu bikra kama Mimi miss .jua huna chako wacha kusumbua watu kuomba ushauri.
Na nyie wanaume mliooa wacheni kutusumbua pambaneni Na machaguo yenu huko.
 
Sio kweli kwamba wanaume wote wanatamani tu. Mbona wapo wengine wanatamani na kuoa kabisa?. Sema wewe ndio umekosa bahati.
 
Thick twice
IMG-20181128-WA0008.jpeg
 
We nae, Usitusumbue ..TUNA MAMBO MENGI YA KUFANYA..!
 
Kilocho mkuta x wangu
Yaani sipendi mwanamke anayependa kuwasiliana kila saa kama wanafunzi, tena akiwa analeta lawama sana ndo ananipa ticket ya kumpiga chini.
 
Nakuja pm niyamalize
Ni ngumu sana mwanamke kupata mwanaume anaekupenda. Wengi wao
Akishakugegeda anawaza kupata k mpya.
Hapo wewe mwanamke ndo ushakufa Na kuoza juu yake. Ukute tena ana kibamia cha Nazi ndo utakoma.
Ukishaona mwanaume hakutafuti kwenye simu ,mawasiliano hayapo hayapo mpaka uanze wewe jiite tu bikra kama Mimi miss .jua huna chako wacha kusumbua watu kuomba ushauri.
Na nyie wanaume mliooa wacheni kutusumbua pambaneni Na machaguo yenu huko.
 
Ni ngumu sana mwanamke kupata mwanaume anaekupenda. Wengi wao
Akishakugegeda anawaza kupata k mpya.
Hapo wewe mwanamke ndo ushakufa Na kuoza juu yake. Ukute tena ana kibamia cha Nazi ndo utakoma.
Ukishaona mwanaume hakutafuti kwenye simu ,mawasiliano hayapo hayapo mpaka uanze wewe jiite tu bikra kama Mimi miss .jua huna chako wacha kusumbua watu kuomba ushauri.
Na nyie wanaume mliooa wacheni kutusumbua pambaneni Na machaguo yenu huko.
Mungu atakupa chaguo la moyo.wako mkuu inaelekea wanachovya na kusepa sana hapo ndio maana ukasema hivyo
 
Back
Top Bottom