Kwanini usijitulize sasa unasubiri uingie kwenye ndoa. Haya naomba usichange ID yako na ukiingia kwenye ndoa utujulishe tukumoniteNitakapo ingia kwny ndoa ndo nitatulia
Neno hilo la mwisho limekosewa spelling. Neno hilo ni 'Wazinifu"
Hakuna kitu kama ichoNeno hilo la mwisho limekosewa spelling. Neno hilo ni 'Wazinifu"
Tunawapenda sana kuliko hata mnavyofikiria.wanaume wote ni nyegez uncontrolled
Hicho kitu kipo katikati ya migu yao, chini ya kitovu!Hakuna kitu kama icho
ndo maana alipitia kwa Eva ee?Waaminifu sana, hata shetan anajua hilo
Sokoro upo Had hukuWanaume wote ni watu wenye VICHWA VIWILI ila anayeongozwa na kichwa cha chini, huwa mzinzi kupindukia.
ndio Nnacho ila Nakitumia IpasavyoHicho kitu kipo katikati ya migu yao, chini ya kitovu!
teh teh wewe jamaa unanipeleleza!! Mimi siyo huyo unayemfahamu.Sokoro upo Had huku
Vp Kaaaaahhhh Hawajambo Kulwa na Doto wadogo zako
Mpe Hi Neema
very sorryTunawapenda sana kuliko hata mnavyofikiria.
Tunagharamika sana, pengine tunajitolea kubeba mpaka jukumu la wazazi.
Ila baada ya kupata mlichotaka mnatuacha solemba.
Hapo ndipo usaliti na kulipa kisasi wa wanaume unapoanzia.
Mwanaume ukimtibua, huwa anakuwa km kichaaa.
Hata mm nina maumivu yaliyosababishwa na mwanamke mwenzio. Mnasubiria muda muafaka ufike tu atalia sana, kwa sbb nampenda na anajua hivyo na anatambua siwezi kumuacha, ngoja moyo uzoee kwanza, sbb nikimuacha sasa hiv moyo utaumia sana. Nyie mkipendwa huwa mnakuwa na dharau sana
Ngoja muda ufike tu, Atanichukia km Miss Natafuta anavyomchukia Ex boy friend wake.
Okteh teh wewe jamaa unanipeleleza!! Mimi siyo huyo unayemfahamu.
Asiee kweli; ndiomaana wakiwa na appointment hawanavisingizio vya kuto kwenda. Na wako tayari kwa gharama yoyote kumpata binti
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo maana manabii wote wanaume....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wanaume wote ni bikira
[emoji108]ONGEZA NA HII U-ADILIFU,HURUMA,NA KUJALI NA KUSIMAMIA MAJUKUMU YETU NO MATTER HOW.
Wanaume hatuna machozi.