Wanaume wenzangu tumeelewana?

Wanaume wenzangu tumeelewana?

The Bleiz

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2012
Posts
5,134
Reaction score
13,822
Huyu mzee ana miaka 102.
IMG_20220106_145749.jpg
 
Inatokea kwa watu wachache saana,
mzee msuguri katimiza miaka 102, yuko hai na wake zake wote wa5.

Kikawaida wanaume tunawahi zaidi kufa, mitaani familia nyingi zina mama, baba kaenda.
Kweli chief inawezekana siri moja wapo ya huo umri ni kutokuwa na stress za mapenzi.
 
Back
Top Bottom