Wanaume wenzangu msitume nauli

Kuna demu aliniomba nauli aje songea ye anakaa morogoro nilivomtumia ndio ikawa mwisho wa mawasiliano.... Ikapita miez 3 akanitafuta tena na kuleta visingizio visivo na kichwa wala miguu kisha akasema nimtumie tena saiv yuko free atakuja

ITAENDELEA
 
Kweli mkuu watu wanapigwa balaa!
 
Ni kweli unamwambia aje atakipata anachokitaka na nauli yake itakua refunded!
 
Je ukiwa ulishamkata, na anataka nauli harafu hakuja hapo inakaaje?

Mi nafikiria mfumo mzuri akope aje aliwe harafu alipwe
Kama ushawahi mkata jipime kama ulitoa dozi ya kutosha au ulimchafua tu!
 
Yaani hapo unawaomba wanaume 10 nauli na wote wanatuma buku 10... Daah raha sana
 
natoka kudaiwa nauli hapa, nimemwambia niko ifakara nanunua mchele, yeye kasema huko huko nimtumie nauli atakuja, hii kitu ni kweli
 
Yaani nilianza patwa na hasira na hizi ra ra ra kwenye post yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna demu aliniomba nauli aje songea ye anakaa morogoro nilivomtumia ndio ikawa mwisho wa mawasiliano.... Ikapita miez 3 akanitafuta tena na kuleta visingizio visivo na kichwa wala miguu kisha akasema nimtumie tena saiv yuko free atakuja

ITAENDELEA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tunasubili
 
Ilinitokea wiki iliyopita aisee, baada ya kumtumia nauli akaanza mara ooh kesho yenyewe sina uhakika saana, nikipewa ruhusa nitakuja nisipopewa ruhusa sitakuja. Nikaona huu ni ujinga nilichomfanyia yule demu hatakuja kusahau, niliwapigia voda simu na nikawaambia nimekosea kutuma hela kwenda namba fulani kwahiyo naomba muirudishe hiyo hela, punde nikaletewa sms kuwa ile hela imerudi. Tangu cku ile nimejifunza sana na yule manzi kapiga simu sikupokea.

USITUMIE NGUVU TUMIA AKILI
 
Haaa sitoagi nauli, nimemsafirisha mtoto mmoja toka Masaki mtoto wa Mtumishi mmoja wa Wizara ya Maliasili kuja Tabata kaja kwa nauli zake akapigwa na Lodge akalipa yeye. Sitakagi ujinga
 
Ni kweli, kuna kadada kanajiita Liz de Cute kalishanifanyia huo ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…