Kassimu Mchuchuri
Member
- Aug 9, 2018
- 95
- 294
Wewe uko upande upi? Au ndo ninyi akina delishazi!?Washikaji mnapojieleza kwa marafiki zenu wa kike /wachumba jaribun kuwa wakweli usijiite Manager ilihali si kweli Utaumbuka siku si zako.Kuwa mkweli tuu kwa Nia njema acha kuigiza[emoji13] mdada anakuuomba sh 10,000/= Manager unaanza kigugumizi[emoji23][emoji23]
Mimi huwa nawaambia ukweli kuwa sina kazi, sina gari na ninaishii nyumba ya kupanga nalala chiniWewe uko upande upi? Au ndo ninyi akina delishazi!?
Mimi huwa nawaambia ukweli kuwa sina kazi, sina gari na ninaishii nyumba ya kupanga nalala chini
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377][emoji23]Ajabu ukiwaambia ukweli hawataki
Hawa wadada wengine bila kuwadanganya huwezi kung'oa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Umebaki peke yako kwenye hii dunia
Siyo kwa dunia ya sasa ambayo ukiwa muongo ndo unaonekana mjanjaWashikaji mnapojieleza kwa marafiki zenu wa kike /wachumba jaribun kuwa wakweli usijiite Manager ilihali si kweli Utaumbuka siku si zako.Kuwa mkweli tuu kwa Nia njema acha kuigiza[emoji13] mdada anakuuomba sh 10,000/= Manager unaanza kigugumizi[emoji23][emoji23]
Ushapata?Sijawahi kutumia uongo kumpata mwanamke.
Ukweli umeniweka huru siku zote.
Mpaka kitandani Mungu tusaidieSio wanaume pekee wanadanganya hata sisi wadada tunadanganya sana tu.
Sijakupata mam. Bado najenga ukaribu/mazoezi.Ushapata?