Mungu ibarik
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 3,384
- 11,538
- Thread starter
-
- #161
Kwa kweli... Ila mi nataka nijue! Hivi mwanamke unaweza kucheat na bado ukawa unampenda mtu wako? Tofauti na huyo ulocheat nae!! Au nyie cheating ikoje kwakina dada?Alafu hiyo comment niliandika kawaida tu ila kuna watu sijui mmechukuliaje. Hivi kukaa bila sex kwa kipindi fulani ni issue sana kwamba mtu utakufa? Mbona ni jambo la kawaida sana. Naona tunaanza kujadili mengine we pambana na mabalaa yako huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
2 Chainz unazingua😭Ameuchuna sababu amejua lengo lako ulitaka mpige threesome
No calls no text for a while.kaushaa
Sizingui mkuu,, soma mazingira utagundua hoja yangu Ina mashiko japo imekaa kama joke2 Chainz unazingua😭
Shida sio kashindwa kuja nifanye nae uzinzi no. Shida kaja nilipo afu kashindwa kuja kwangu japo kuniona!! Na last seen DecemberI find no wisdom in your writing, calling someone b**ch that tells a lot about you
Anyway it was my proposition it can be taken or discarded.
There is something more far dark in our brother story
Only extraordinary mind can question
Kisa ni binti kushindwa kwenda kufanya uzinzi nae ndo kosa kubwa right?? That's what the story is all about sasa sijui kama wewe ujaliona hilo
If it's right now tell me if you don't doubt it?
Tatizo la wanaume wengi wa kileo ni waoga wa maisha na wanataka kujifananisha na wanawakeInsecurities hazijawahi kumwacha mtu salama,wewe acha kuwa na was wasi juu Yake,mwambie atimbe ghetto ule mzigo Kisha asepe kwao.
Mtu hata hujaoana naye na tayari ushaanza kufeel insecure eti ooh Ana mwanaume mwingine, na itakuwaje Sasa Kama ukioa?
Man up!
2chainz sema bibie nilimuelewa sanaaaaa lakin ngoja tuone.Sizingui mkuu,, soma mazingira utagundua hoja yangu Ina mashiko japo imekaa kama joke
Kumbe hakumpa lakini kanuni ni ile ile mwanamume hasusi mbususu ni kuichakata na kama ushajua sio mwaminifu ni kumtumia baada ya kumchezea kwa muda fulani 🚮Sijaona mahala kasema alitoa hyo pesa. Kinachomuuma anahis kagongewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa haraka haraka , hakuona Kama Nina stahili ? Sindo maana yako.Hii wala hukuhitaji kuuliza. Wachana nae alikuweka wa akiba. You deserve better..
Unauhakika au ni hisia mkuu hivi unajua akili za wanawakeDah roho inauma mbaka kifua.. afu nimeona ni dharau ya karne yani atoke kule aje atombewe wilaya ambayo nipo!
Fafanua kidogo hoja yako Kama Ina mashiko.Tatizo la wanaume wengi wa kileo ni waoga wa maisha na wanataka kujifananisha na wanawake
Lile neno tuishi nao kwa akili linamaana kubwa sana ila wengi wa wanaume hawajui jinsi ya kuishi nao kwa akili
Kwa wengine sijui ila kwangu navyoelewa mapenzi yanakua yameisha. Wanawake sio wepesi kucheat kama tulipenda kweli.Kwa kweli... Ila mi nataka nijue! Hivi mwanamke unaweza kucheat na bado ukawa unampenda mtu wako? Tofauti na huyo ulocheat nae!! Au nyie cheating ikoje kwakina dada?
Sasa case yako mbona ndogo mkuu.. Mimi juzi tu nimewapa mkasa wa mwanamke niliepanga kumuoa nimekuta picha zake za uchi group la Telegram akinadi kujiuza2chainz sema bibie nilimuelewa sanaaaaa lakin ngoja tuone.
🤣🤣🤣🤣🤣Sasa case yako mbona ndogo mkuu.. Mimi juzi tu nimewapa mkasa wa mwanamke niliepanga kumuoa nimekuta picha zake za uchi group la Telegram akinadi kujiuza
Kwa 90% ni Tru. Maana alisema yuko na mwenzake wanafanya kazi ofisi moja .Unauhakika au ni hisia mkuu hivi unajua akili za wanawake
😲😲😲😲😲Mtume.....!!!Sasa case yako mbona ndogo mkuu.. Mimi juzi tu nimewapa mkasa wa mwanamke niliepanga kumuoa nimekuta picha zake za uchi group la Telegram akinadi kujiuza
Mkuu mkasa wote nliweka humu majuzi kati tu🤣🤣🤣🤣🤣
Nilidhani nimesikia yote kumbe bado!