Wanaume wenzangu Hapa J.f!!!

Wanaume wenzangu Hapa J.f!!!

Kiokotee

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
1,674
Reaction score
2,216
Najua sisi ndio tuna pesa za kununua Mabando pia najua 80%Ya Nyuzi Zilizopo humu Hasa kipindi hiki ni za kwetu sisi Mens..Ila sio Mbaya tukipumzisha vichwa vyetu tuweze kutafakari japo siku moja hizi Nyuzi tunazoandika humu,Nahisi kama tumechoka hivi Au mimi ndio naona peke yangu!! Ahsanteni Mimi hii wiki yote ntaendelea comments zangu za Utopolo tu.
 
Najua sisi ndio tuna pesa za kununua Mabando pia najua 80%Ya Nyuzi Zilizopo humu Hasa kipindi hiki ni za kwetu sisi Mens..Ila sio Mbaya tukipumzisha vichwa vyetu tuweze kutafakari japo siku moja hizi Nyuzi tunazoandika humu,Nahisi kama tumechoka hivi Au mimi ndio naona peke yangu!! Ahsanteni Mimi hii wiki yote ntaendelea comments zangu za Utopolo tu.
Utopolo ndio unatusaidia tusiwe na shida na wanasaikolojia kama walivyo wenzetu.
Mara wanakuwa suicidal, mara sijui wanasumbulia na ma depression sijui matakataka gani
 
Back
Top Bottom