Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
US says no ‘deliberate’ war crimes by Israel after ICC referral
US official Kirby says there is no evidence of Israeli war crimes after Mexico, Chile request investigation from court.
www.aljazeera.com
sisi Hamas.... tutaendelea kupeana tough na kuwatia moyo wenzetu. hali ya Israel najua kwa sasa ni mbaya sana wanakufa tu kama kumbikumbi. naona wenzangu kama mmepotea mmeniachia hilo suala mimi peke yangu sioni mashambulizi yenu kwa Israel humu JF sioni mkishusha nyuzi za kuonesha namna gani Israel wanapoteza. mmekuwa kimya sana.
issue ni nini? tusirudi nyuma na tusikate tamaa ndugu zanguni. mapambano yanaendelea....mpaka Wazayuni waishe kabisa huko ISrael. na tuendelee kupambana katika hayo mambo ili kuwekana sawa kisaikolojia.
nawaita FaizaFoxy ChoiceVariable Ritz (anayependa kunywa uharo kama ambavyo huwa anajinasibu) msikate tamaa wenzangu tuendelee kupambana na makafir.... tusiwaache wakapumua humu JF.