Wanaume wenye vitambi wengi wana vibamia

Wanaume wenye vitambi wengi wana vibamia

Mi haya le mutuz huwa sijuagi ni nani. Nataka kuona video hiyo niende inta sehem gani
 
Viungo vya mwanadamu ni kawaida kuwa na saizi tofauti. Mfano miguu ipo ya saizi ndogo mpaka kubwa na ndio maana viatu, kuna saizi ndogo mpaka kubwa. Sasa binadamu mwenye mguu mdogo akinunua kiatu kikubwa matokeo yake yanaeleweka. Na mwenye miguu mikubwa akinunua saizi ndogo matokeo yake yanaeleweka. Sasa binadamu akienda kununua kiatu ni lazima ajue namba yake. Kama hajui anajaribisha kuvaa kiatu mpaka apate kinachomtosha. Inashangaza pale binadamu mwenye mguu mkubwa anapodharau kiatu kidogo wakati sio saizi yake!!!!
 
mmmmmm mku ebu nipe faida 3 za Vitambi? yani mr nikianza kuhisi tuu lazima niulize kwani vp? nimeondoka just 3 weeks narudi nakuta kitambi vp? inabidi nijitahidi kumsaidia kiondoke..
hua anaku kuna vizuri?
 
Back
Top Bottom