Tanzania ya viwanda na vijana ambao wanategemewa kua innovative na kushindana na soko la afrika mashariki...
Aisee haya mkuu.niliridhika sema pesa muhimu
HayaAisee haya mkuu.
Upo sahihi kabisa. Kitambi ni ugonjwa, tena ugonjwa unaosababisha magonjwa mengine mengii!!Yatasemwa mengi lakini ukweli utabaki kuwa kitambi ni ugonjwa.....
Hata sijui ni kwanini vijana wanapenda kweli kuvifuga....vitambi.....kwa sababu vinatoa shepu mbaya...kwa kijana.....kijana unatakiwa uonekane mkakamavu...sas hilo tumbo hapo mbele.....linakufanya uonekane ni goi goi.....
Upo sahihi kabisa. Kitambi ni ugonjwa, tena ugonjwa unaosababisha magonjwa mengine mengii!!
Lol BAK umenichekesha thank you so big, najaribu kufikiria uzito na mmoja akija juu ya mwenzie alokua chini kama mdada kiuno hakizunguki ipasavyo manake huo uzito atakao ekewa mbona kazi.....lol..Styles tofauti wanatumia. Na vitambi vyao wanakunjana kama matairi.
mbona mnatusimanga wenye vitambi vyetu....wakati vina faida nyingi sana.....Sasa ukute mke kitambi na mume ndio usiseme unabakia na maswali kibao,kichwani wakukujibu hakuna..
mwanaume wa haja ni yule anaejiweka vizuri muonekano pia hata kimwili hili kupelekea mwanaume kunywa pombe, kitimoto, nyama choma, na bia bila mpangilio imepelekea wanaume wengi kuwa na vitambi visivyo na maana yoyote.. mwanaume mwenye kitambi kiukweli huwa ni mzito na kwenye gem kimoja hoi kumridhisha mpenzie ni ndoto maana kitambi kinameza uume kinabaki kama kipisi cha sigara a. k.a.kibamia pumzi ndogo pia inachangia kila mwanamke anapenda wawapo faragha aridhishwe na mpenzie siyo kuachiwa haja kwa mimi binafsi napenda sana mzigo wa haja.. kama una kibamia tumia hii kitu ikusaidie kurefusha uume na kuwa na uume wa haja...kazi kwenu wenye vibamia.. View attachment 411738
mmmmmm mku ebu nipe faida 3 za Vitambi? yani mr nikianza kuhisi tuu lazima niulize kwani vp? nimeondoka just 3 weeks narudi nakuta kitambi vp? inabidi nijitahidi kumsaidia kiondoke..mbona mnatusimanga wenye vitambi vyetu....wakati vina faida nyingi sana.....
Wewe ni mke mzuri unaondoka na kumwacha peke yake wiki tatu.mmmmmm mku ebu nipe faida 3 za Vitambi? yani mr nikianza kuhisi tuu lazima niulize kwani vp? nimeondoka just 3 weeks narudi nakuta kitambi vp? inabidi nijitahidi kumsaidia kiondoke..
Ww ndio masinde wa dom nini?mbona mnatusimanga wenye vitambi vyetu....wakati vina faida nyingi sana.....
Mkuu yu heti vitambi so machiLol BAK umenichekesha thank you so big, najaribu kufikiria uzito na mmoja akija juu ya mwenzie alokua chini kama mdada kiuno hakizunguki ipasavyo manake huo uzito atakao ekewa mbona kazi.....lol..
Una moyo sana. Umetesti wote hao na kukuta wana vibamia?mwanaume wa haja ni yule anaejiweka vizuri muonekano pia hata kimwili hili kupelekea mwanaume kunywa pombe, kitimoto, nyama choma, na bia bila mpangilio imepelekea wanaume wengi kuwa na vitambi visivyo na maana yoyote.. mwanaume mwenye kitambi kiukweli huwa ni mzito na kwenye gem kimoja hoi kumridhisha mpenzie ni ndoto maana kitambi kinameza uume kinabaki kama kipisi cha sigara a. k.a.kibamia pumzi ndogo pia inachangia kila mwanamke anapenda wawapo faragha aridhishwe na mpenzie siyo kuachiwa haja kwa mimi binafsi napenda sana mzigo wa haja.. kama una kibamia tumia hii kitu ikusaidie kurefusha uume na kuwa na uume wa haja...kazi kwenu wenye vibamia.. View attachment 411738