ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,644
- 90,066
Yesus..Hawataki kukubali kuwa akili hawana.
Yesus..Hawataki kukubali kuwa akili hawana.
Pole ndiyo utu uzima huo ila fanya urudi bhana wewe na cute b mlipotea hadi niliwamiss eti ila cute b amesharudi bado wewe naona unaingia kwa manatimihangaiko tu my dear...my time is getting tighter japo namiss kuwepo humu sana.
Siyo kweli....wengi ni tamaa zenu tu!Michepuko husababishwa na wanawake kushindwa kutimiza wajibu wao ndani ya ndoa, ukorofi nk.
Umejiona ulivyo mbinafsu!Sasa unakuta wife kajifungua mtoto wa Tatu au wa pili bado wa kwanza ni mdogo pengine ana 4 yrs mwingne 3 yrs kila mda wife yuko benet na watoto kuwaangalia kuwahudumia huyu analia yule analia huyu anataka chakula mwngne pia anataka usiku bado akishtuka ucngzin analia sasa wife utamgusa saa ngap maana had unamuhurumia anavyowajibika bado tena ukimpiga game ndo analegea kabsa inabd ujiongeze kidume kuangalia wap unaeza tuliza mshindo kidogo then mambo yaendelee.
Ila chepuka unavyoweza ila usizae nnje maana familia itapitia migogoro
Ntarudi mama usijaliPole ndiyo utu uzima huo ila fanya urudi bhana wewe na cute b mlipotea hadi niliwamiss eti ila cute b amesharudi bado wewe naona unaingia kwa manati
Igombe fisherman Umejitahidi sana kuwa mkweli, huu ni ukweli usiosemwa popote kwasababu watu wanapenda kuonekana perfect na machaguo yao kumbe uhalisia sivyo.
Wanawake wengi wa kiafrica tunaolewa kwa sababu mbalimbali na si kwa sababu tunapendwa, muda mwingine mwanaume anamuoa huyu sababu anafaa na si kwasababu anampenda, we should know the difference although kuna a very thin line kati ya kupendwa na kuonekana unafaa.
Mkuu ulivyosema “kukoswa” lazima utakuwa shemeji yangu tu.
Igombe fisherman Umejitahidi sana kuwa mkweli, huu ni ukweli usiosemwa popote kwasababu watu wanapenda kuonekana perfect na machaguo yao kumbe uhalisia sivyo.
Wanawake wengi wa kiafrica tunaolewa kwa sababu mbalimbali na si kwa sababu tunapendwa, muda mwingine mwanaume anamuoa huyu sababu anafaa na si kwasababu anampenda, we should know the difference although kuna a very thin line kati ya kupendwa na kuonekana unafaa.
Mkuu ulivyosema “kukoswa” lazima utakuwa shemeji yangu tu.
Wanaume wenyewe wanajua hilo sio wote waliooa walioa kwa sababu wana mapenzi ya dhati kwa wanawake waliowaoa kuliko wengine.
Watu wana sababu za kijinga sana za kwanini alioa alie nae na ndipo utagundua michepuko haiwezi kuisha na sio kila anatembea na mume wa mtu anatumika tu wengine wanapendwa na wana nafasi kwenye mioyo ya mwanaume kuliko mke alie ndani.
Ila kama uliemuoa ulimpenda michepuko ya kazi gani?
Ni nini yani unachokifuata nje ambacho mkeo hakutimizii?
Wanaume wapunguze tamaa. Haina haja ya kuoa binti wa mtu halafu unaenda kumchanganya na visungura tope mtaani tena utakuta mtu mwingine ana mchepuko mbayaaaa wakati ndani ana mke mzuri tu
Shoga kidawa, huu utabaki ukweli mchungu mpaka pale wapiga ramli wa JF watakapokuja kukupa majina wanayoyajua wao.
Ujiandae....
Igombe fisherman Umejitahidi sana kuwa mkweli, huu ni ukweli usiosemwa popote kwasababu watu wanapenda kuonekana perfect na machaguo yao kumbe uhalisia sivyo.
Wanawake wengi wa kiafrica tunaolewa kwa sababu mbalimbali na si kwa sababu tunapendwa, muda mwingine mwanaume anamuoa huyu sababu anafaa na si kwasababu anampenda, we should know the difference although kuna a very thin line kati ya kupendwa na kuonekana unafaa.
Mkuu ulivyosema “kukoswa” lazima utakuwa shemeji yangu tu.