Wanaume Wengine Wakavu Sanaaa! Daaah!

Wanaume Wengine Wakavu Sanaaa! Daaah!

lara 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
15,700
Reaction score
29,190
Igweeeeeeeeeeeeeeee!

Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!

Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!

Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.

Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!

Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?
 
lara 1 usiniseme ivyo...si alikua anafanya shopping for herself not me sasa ntayoaje hela
 
ss wewe lara1 huyo dada aliondka na nguo zote alzochagua? hela toka kwa alitaka ya nn? kumbe alkuwa hela.DO U THINK MONEY CAN BUY UR HAPPINESS?...ww mwenyewe waonekana mchunaj coz unachunguza ht mbinu mwenzako anavyotaka kuchuna
CUT & THRUST
 
.amjamsikia nape? nape amesema maisha bora kwa mtanzania ni apo baadaye sana. hivo uyo mkaka bado ayajamfikia.
sisi wengine yaliyotufikia unamwambia achague zozote.
kutoka out bila 5 million bora nilale ndani tu
 
lara 1 kuna duka fulani lina nguo nzuri za kike. Mke wangu akaanza hizo za kila siku kwenda. Nikamsetia budget lakini mwenzangu budget sio budget kwake.

Siku ya siku tuko mizungukoni kacheki insta akaona duka lina vitu vipya. Mfukoni na buku 5 na gari wese hamna, tuko na dogo analia kichizi ndani. Nikapigwa dear nyingiii tupitie tupitie. Nikamwambia mimi sina hela,, haamini tupitie bana. Haya tukaenda.

Sikushuka siku hiyo akatoka na mbwembwe zake pale nikaona huu msala. Nikaenda kijipub pembeni nikajichukulia ndovu 2 bariiiiiiiidi halafu nikawa nazipigia kwenye gari.

Akarudi na lundo gharama laki na uchee. Dear vipi sasa, mzigo ndio huu. Nikamtolea macho huku nashusha ndovvvvvvvvvvvvv bariiidi nikamwambia hapa ile buku 5 nishanunua ndovu 2 za kutoa machungu, nina buku tu si nilikwambia??

Akanuna mbayaaa, akarudi mpole na lile duka huchukui bila hela na ukichelewa tu zinachukuliwa. Moyoni nachekelea mbayaaaa! Tukarudi hatuongei. Kufika home nikaona anatafuta tafuta kumbe kuna mahala kazificha akaenda mpesa akamtumia fasta zisichukuliwe.

Niliponea chupuchupu kuingia mkenge....
 
Last edited by a moderator:
.amjamsikia nape? nape amesema maisha bora kwa mtanzania ni apo baadaye sana. hivo uyo mkaka bado ayajamfikia.
sisi wengine yaliyotufikia unamwambia achague zozote.
kutoka out bila 5 million bora nilale ndani tu

Nimekupenda bure
 
ss wewe lara1 huyo dada aliondka na nguo zote alzochagua? hela toka kwa alitaka ya nn? kumbe alkuwa hela.DO U THINK MONEY CAN BUY UR HAPPINESS?...ww mwenyewe waonekana mchunaj coz unachunguza ht mbinu mwenzako anavyotaka kuchuna
CUT & THRUST


SUUURE......!!!!!??? @lara1
 
Huyo ndo mwanaume wa ukweli. Nitupie #yake nimrushie jero,maana kaniwalikilisha kiume sana!
Mnataka Equality,ndo hyo mmepewa!....*****,chezea hela ya guta weyeee???
Full mikausho km ckujui vile.

Hahahahahahahaaaaaaaaaa aisee nimecheka sana, ww acha roho mbaya na hela yako ya gut, ndo maana inakuja mijibaba inajibebea vimwana vyenu!
 
Igweeeeeeeeeeeeeeee!

Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!

Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!

Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.

Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!

Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?





Haisee huyu jamaa ana akili kinoma maana alishaona picha yote kwani siku hizi mademu wa kibongo kutokana na tamaa zao utawasikia, mpenzi (mtu umekutana naye siku moja tu) nataka kwenda sehemu fulani (hakuambii wapi kuogopa utashituka mapema) naomba unisindikize. Then ukiingia kichwa kichwa na kwenda naye utajikuta upo kwenye viboutique msela (nguo za kichina na kituruki za low quality), demu atajifanya anachagua kukupima mkaka kuona kama utamnunulia, atakudekea hapo mpaka uingie line na ukiwa mjinga utajiingiza hasara kumnunulia vitu vya mamilioni na zaidi wakati wanaopiga na kumkomoa huyo demu ni wengine kabisa na wasiompa hata elfu 5. Mademu wa kibongo hawana issue siku hizi, ni kuwachapa tu na kuingia kitaa basi, ama ukienda nao gesti unachapa tani yako then unaruka dirisha la chooni na kuwaacha hapo pekee wakamatwe kwa kutolipa, that's the way to do them ili wajifunze.
 
Hayo ndiyo madhara ya ratiba za kuchomekeana. Tupange tunakwenda shopping lkn mambo ya baby kuna kitu naangalia sijui madudu gani ni kutaka tu kujiadhiri haswa ukikutana na mkaza sura.
 
Igweeeeeeeeeeeeeeee!

Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!

Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!

Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.

Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!

Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?

Tukisema no money no honey, ooh me hata kama hana pesa vilevile nampenda, wewe pesa ndiyo kila kitu ktk maisha haya ya dot.com, wakati wanabebana kwenda shopping hana hata cent si majanga haya? Ikipendeza xana kama angekuwa anamwambia mrembo wake umependa lipi? Halafu analipia mwanzo mwishooo....Pesa ndiyo mwanzo mwisho@Lara1
 
Back
Top Bottom