Wanaume Wengine Wakavu Sanaaa! Daaah!

Wanaume Wengine Wakavu Sanaaa! Daaah!

kwi kwi kwi kwi huyo dada pole yake aisiiidoonh nao wanaume wa siku hizi yaaani ni full ubahili doonh hasa akigundua mwanamke anafanya kazi doonh ebu wanaume na nyie badilikeni kidogo muache ubahili
 
lara 1 hapo huyo kaka haikua amri yake watoke ki hivyo, na mfuko wa kutokea alishakabidhiwa Bi dada, hakuna nyongeza hapo
 
Last edited by a moderator:
Kama haikuwa kwenye ratiba na cna hela kwanini nijitutumue alafu bdae nkajutia. . .mipango ndiyo mafanikio.bila kupanga itakula kwa mtu.
 
ila ukipenda vya bure, kubali kudhalilika anyatime, mtu unatka nyumbani huna hela halafu unategemea kutumia pesa ya nani
 
Igweeeeeeeeeeeeeeee!

Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!

Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!

Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.

Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!

Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?
hakatwi mtu hapa!!!!!
 
Igweeeeeeeeeeeeeeee!

Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!

Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!

Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.

Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!

Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?
hhahahahaha naona lara 1 umeamua kupunguza makali kwa kuwatete wanaume kidogo hahahaha ingekuwa befor hili beef la boys vs. girls tittle ya thread isingekuwa ivi may be ingekuwa #wakaka wa mjini wanatia huruma . kama ile ya watafuta maisha
 
Last edited by a moderator:
kila mtu alipe bill yake ,hakuna misaada & we need to be very tight with unnecessary cost:embarassed2:
 
Hahaha. Mmenichekesha!
Mie mamangu alikuwa anasema hata ukialikwa lunch, make sure you order what you can pay for. Kuna kuletewa zawadi, ila kujinunulia nguo jinunulieni bwana. Kwani bf ni mama yako? Lol.

Beggars in designer clothes!

unatumia kinywaji gani dadake?????hapo hapo ulipo ambia hao wakupatie kwa bili yangu aiseee
 
Igweeeeeeeeeeeeeeee! Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima! Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja! Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho. Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa! Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?
Du! Huyo mkaka ni kauzu zaidi ya dagaa ila mdada amejifunza kitu
 
Back
Top Bottom