Wanaume Wengine Wakavu Sanaaa! Daaah!

Wanaume Wengine Wakavu Sanaaa! Daaah!

Nyumba zetu nyingi pamoja na relation zetu uchwara zonakosa mawasiliano. Mtaondokaje halafu hamjui mnaenda kufanya nini? Just guessing inawezekana jamaa nae analipiza kisasi baada ya kwenda nae hadi Guest kalipia chumba wameingia, wamevua halafu Demu anauliza, "HIVI UNATAKA KUFANYA NINI?"
Dawa ya Moto ni moto

hahaha..hivi hyo tabia inatokeaga eh? Kulipa lodge then binti anakataa kugongwa!

Patachimbika kama pamechimbwa na greda!
 
tena wanawake wa namna hii hawajawahi hata kununuliwa nguo za mtumba na baba zao. Hivi hao wanaume mnaokutana nao mnafikiri wameshushwa? au wana miti pesa? ni wanaume kama kaka zako na baba yako wanapitia changamoto kubwa zaidi yao saa nyingine. Wanawake tufanye kazi, ili ugonjwa wa shoping ukianza tuweze kuuhudumia.
Aibu nyingine sio za lazima.:yell:

ila wanaume wengine, wakavuuuu.... hata ukianza kumpa zawadi yeye hakupiii miaka mia.:disapointed::disapointed:

kama unampenda mpe raha.
A%20S%208.gif
 
hahaaa Nimecheka aisee hasa Comment za wakaka wa hum ndani..........

kuna wakaka wabandidu jamani Kha..........
 
Igweeeeeeeeeeeeeeee!

Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!

Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!

Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.

Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!

Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?

Hivi ule msemo wa akina dada walikuwa wanasema "HAPENDWI MTU HAPA ILA POCHI", siku hizi haupo tena?
 
Igweeeeeeeeeeeeeeee!

Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!

Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!

Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.

Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!

Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?

Huu si udaku?????????
 
mwanamke anakwambia nisindikize nikanunue kitu flan, basi ujue unaenda kupigwa mzinga. kama unaenda shopping kwann unakuwa hujipangi? budget yako unaiingiza kwa mwingine. mwanaume yupo sawa kabisa, umepungukiwa na hela ungesema toka mwanzoni ili nikuweke kwenye ratiba zangu
 
Haisee huyu jamaa ana akili kinoma maana alishaona picha yote kwani siku hizi mademu wa kibongo kutokana na tamaa zao utawasikia, mpenzi (mtu umekutana naye siku moja tu) nataka kwenda sehemu fulani (hakuambii wapi kuogopa utashituka mapema) naomba unisindikize. Then ukiingia kichwa kichwa na kwenda naye utajikuta upo kwenye viboutique msela (nguo za kichina na kituruki za low quality), demu atajifanya anachagua kukupima mkaka kuona kama utamnunulia, atakudekea hapo mpaka uingie line na ukiwa mjinga utajiingiza hasara kumnunulia vitu vya mamilioni na zaidi wakati wanaopiga na kumkomoa huyo demu ni wengine kabisa na wasiompa hata elfu 5. Mademu wa kibongo hawana issue siku hizi, ni kuwachapa tu na kuingia kitaa basi, ama ukienda nao gesti unachapa tani yako then unaruka dirisha la chooni na kuwaacha hapo pekee wakamatwe kwa kutolipa, that's the way to do them ili wajifunze.

DAHHH, Mkuu hiyo sasa roho mbaya, yaan unamgegeda mwenzio hafu humtoi hata buku la boda boda.
 
What if msichana ndo kauzu kuliko dagaa?
aliambiwa before kuwa mfukoni sina kitu
akalazimisha tu 'dont worry babe ninazo pesa'
unanisindikiza tu ,ondoa shaka..

wapo wadada 'makauzu mno'
anakubambikia shopping hata hukuzipanga
i refuse kumlaumu huyo mvulana
hujui walitoka vipi huko makwao

what if walikutana njiani tu,?
au ndo kwanza wametongozana?

mjinimipango,na mipango inaanza na bajeti...
 
Usipoangalia wadada wanaweza kukutumia kama remote control, wanabonyeza mda wautakao, wakibonya wanataka channel ingine(japo si wote )
.. mambo ya namna hiyo yanapangwa, sio kukurupuka barabarani, ati honey embu tuingie humu nataka kuangalia kitu..
 
Mtetezi wa haki za wanawake lakini DHANA YA MFUMO DUME IMEKUKAA!!-angeenda shopping mkaka yakamkuta yaliyomkuta mdada sijui ingekuaje...............hopeful normal
 
Igweeeeeeeeeeeeeeee!

Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!

Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!

Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.

Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!

Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?
unaendaje shopping bila hela ya kutosha au ATM card?? inaonekana hakuongea na mchuchu wake kabla ya safari thats y 'kaachwa hewani'. it's her fault
 
hahhahaha, wangeulizana mapema jamani kama wananunuliana au vipi. duh!
 
What if msichana ndo kauzu kuliko dagaa?
aliambiwa before kuwa mfukoni sina kitu
akalazimisha tu 'dont worry babe ninazo pesa'
unanisindikiza tu ,ondoa shaka..

wapo wadada 'makauzu mno'
anakubambikia shopping hata hukuzipanga
i refuse kumlaumu huyo mvulana
hujui walitoka vipi huko makwao

what if walikutana njiani tu,?
au ndo kwanza wametongozana?

mjinimipango,na mipango inaanza na bajeti...

umenikosha na unanikosha sana kwa kua intellectual(reasoning) hopeful ugonjwa waliorithi akina dada wengi ni mfumo dume...yaani all the time mwanaume anachukuliwa kua anazo
 
ulivyoandika nje nikaingia fasta kujua wanaume wakavu wapi na vipi.... ha aha ah ahaaa!! huo unaitwa ubandidu au labda jamaa mwenyewe ni marioo!! huwezi jua na ngoswe..............
 
Hayo ndiyo madhara ya ratiba za kuchomekeana. Tupange tunakwenda shopping lkn mambo ya baby kuna kitu naangalia sijui madudu gani ni kutaka tu kujiadhiri haswa ukikutana na mkaza sura.
Mkirua, hapo kwenye red tu mi taabani, msiwakazie kiivyo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom