lara 1 kuna duka fulani lina nguo nzuri za kike. Mke wangu akaanza hizo za kila siku kwenda. Nikamsetia budget lakini mwenzangu budget sio budget kwake.
Siku ya siku tuko mizungukoni kacheki insta akaona duka lina vitu vipya. Mfukoni na buku 5 na gari wese hamna, tuko na dogo analia kichizi ndani. Nikapigwa dear nyingiii tupitie tupitie. Nikamwambia mimi sina hela,, haamini tupitie bana. Haya tukaenda.
Sikushuka siku hiyo akatoka na mbwembwe zake pale nikaona huu msala. Nikaenda kijipub pembeni nikajichukulia ndovu 2 bariiiiiiiidi halafu nikawa nazipigia kwenye gari.
Akarudi na lundo gharama laki na uchee . Dear vipi sasa, mzigo ndio huu. Nikamtolea macho huku nashusha ndovvvvvvvvvvvvv bariiidi nikamwambia hapa ile buku 5 nishanunua ndovu 2 za kutoa machungu, nina buku tu si nilikwambia??
Akanuna mbayaaa, akarudi mpole na lile duka huchukui bila hela na ukichelewa tu zinachukuliwa. Moyoni nachekelea mbayaaaa! Tukarudi hatuongei. Kufika home nikaona anatafuta tafuta kumbe kuna mahala kazificha akaenda mpesa akamtumia fasta zisichukuliwe.
Niliponea chupuchupu kuingia mkenge....
mkuu lundo la nguo then laki na uchee? mitumba au nguo za ukweli? maana kusema kweli kwa jinsi ninavyonunua na wife nguo zake laki mbili hupati hata nguo nne! sasa wewe lundo laki na ushee? au wadada hii kweli?
mkuu lundo la nguo then laki na uchee? mitumba au nguo za ukweli? maana kusema kweli kwa jinsi ninavyonunua na wife nguo zake laki mbili hupati hata nguo nne! sasa wewe lundo laki na ushee? au wadada hii kweli?
Haisee huyu jamaa ana akili kinoma maana alishaona picha yote kwani siku hizi mademu wa kibongo kutokana na tamaa zao utawasikia, mpenzi (mtu umekutana naye siku moja tu) nataka kwenda sehemu fulani (hakuambii wapi kuogopa utashituka mapema) naomba unisindikize. Then ukiingia kichwa kichwa na kwenda naye utajikuta upo kwenye viboutique msela (nguo za kichina na kituruki za low quality), demu atajifanya anachagua kukupima mkaka kuona kama utamnunulia, atakudekea hapo mpaka uingie line na ukiwa mjinga utajiingiza hasara kumnunulia vitu vya mamilioni na zaidi wakati wanaopiga na kumkomoa huyo demu ni wengine kabisa na wasiompa hata elfu 5. Mademu wa kibongo hawana issue siku hizi, ni kuwachapa tu na kuingia kitaa basi, ama ukienda nao gesti unachapa tani yako then unaruka dirisha la chooni na kuwaacha hapo pekee wakamatwe kwa kutolipa, that's the way to do them ili wajifunze.
Igweeeeeeeeeeeeeeee!
Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!
Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!
Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.
Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!
Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?
mkuu lundo la nguo then laki na uchee? mitumba au nguo za ukweli? maana kusema kweli kwa jinsi ninavyonunua na wife nguo zake laki mbili hupati hata nguo nne! sasa wewe lundo laki na ushee? au wadada hii kweli?
Hali ngumu mifuko imetoboka
tehe tehe za zimbabwe hizo mkuu.amjamsikia nape? nape amesema maisha bora kwa mtanzania ni apo baadaye sana. hivo uyo mkaka bado ayajamfikia.
sisi wengine yaliyotufikia unamwambia achague zozote.
kutoka out bila 5 million bora nilale ndani tu
Igweeeeeeeeeeeeeeee!
Jana nilienda kibotic uchwara ku window shop supraa na midosho ya kitaa! Sasa mule nikawa napigizana kelele na Dulla boy aniahushie bei! Dulla nunda hacheki na kima!
Mara ghafla wakaingia mkaka na sherii wake wameshikana mkono, full malavida, hug kibaooo! Full kudraw attention Dulla akachachawa kuona riziki imemtembelea! Wengine wote tukaonekana si wateja!
Dada anaagiza tu ashiwe ile na ile zigo haswaaa! Mmmmh! Mi nikaguna tu coz nguo 2 zilikuwaza zantoa kamasi si kidogo! Akaenda kujaribu, Mr kasimama pembeni, wengine kimyaaaa! Tunatoa mijicho.
Kulipa sasa kimbembe! Yule bwana kajikausha kimya! Bi dada anajisemesha nimepungukiwa, sina, sitoweza! Mkaka kimyaaaa! Mwisho Dulla akanuna, mdada akamwambia mchuchu wajikatae haoooo wakasepa!
Nikashangaaaa! Mkaka hata kusema amuongezee kidogo! Kimyaaaaaaa! Hata chukua moja tu! MIMI HAPANA AISEEEEE! Sasa what was the point ya kusindikizana?
My goodness..................!!! lazima utakuwa ulitobolewa mifuko wewe....tena kulee..........!!! hahahaaa
msiwe mnaparamia tu hovyohovyo!!!
na unafikiri ukimuona siku ya kwanza kapendeza unafikiri anavaa viwalo vipi sasa!!! kugharamia hakuepukiki!!!
pole mwaya!!
vipi mambo lakini?
DAHHH, Mkuu hiyo sasa roho mbaya, yaan unamgegeda mwenzio hafu humtoi hata buku la boda boda.