Wanaume wengine ni malimbukeni wa kutongoza na mapenzi

Acha uongo wee jamaa habari za udaku zimekuharibu ukiishiwa udaku unaona utunyweshe supu ya nguruwe !
 
Leo kuna mwanaume alikuwa nje ya bank mara akamuona binti mzuri anatoka benki.

Akawa amempenda pale alipokuwa nje kulikuwa na gari nzuri toyota 4runner.jamaa akaanza kutongoza uku akiwa kaegamia ile gari na kujisifu ile gari ni yake na akahidi kumpa eti anazo nyingi.

Kumbe hiyo gari ni ya mwanamke mwenyewe anayetongozwa alikuwa ameipaki akaingia benki. Jamaa alikuwa hajui.

Baada ya kumaliza kutongoza na kutoa bznes card.binti akamwambia ebu nipishe akaingia kwenye gari yake na kutokomea. Jamaa akabaki na aibu tele.

Hivi ukimpenda mtu ni hadi ujisifie mali za uongo. Je ukisema ukweli hautopendwa?

Huyo mwanamke angekuwa mjinga kweli kama angekubali kuwa gari ya jamaa kisa tu kaiegemea!!

Angekuwa ndani ya gari, kidogo ingeleta mantiki.
 
umekopi kichekesho cha Ann kansiime....acha hizo wewe muuza sura

Ndio nani huyo? Hiki kisa cha ukweli na kuna wengine wapo umu JF na wamemind sana baada ya kusoma uzi huu.

Cha muhimu watu wabadilike. Wewe ujawai kuona watu wa hivi?
 
Huna thread Nzuri zaidi ya majigambo ya mastaa na we mwenyewe shwain,elimisha watu sisi ni great thinkers udaku peleka Facebook huko au global publishers
 
Huna thread Nzuri zaidi ya majigambo ya mastaa na we mwenyewe shwain,elimisha watu sisi ni great thinkers udaku peleka Facebook huko au global publishers

Siku zote ukweli unauma pole sana kwa kukugusa. Lengo langu ubadilike
 
Kaaaaaaz kweli kweli. Hicho ni kichekesho cha mdada anaitwa Ann Kansiime. Ni Mganda huyudada na wala sio Nigeria kama wengine wanavyodai. Ulikuwa na nia nzuri. But be careful next time.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom