Wanaume wengine ni hasara tu

Wanaume wengine ni hasara tu

naan ngik-kundie

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
1,766
Reaction score
2,435
Dada yetu tulimsomesha wenyewe ajabu baada tu ya kupata ajira akaleta mpare mmoja nyumbani eti anataka kuolewa, sasa tangu aolewe hajui ATM inafananaje wala ina rangi gani jamaa kateka kadi ya Benk.

Na hata akishachukua hiyo salary yake hampi ata mia hadi sister anatupigia simu kutuomba tumpige tafu, jamani kweli huu ni ungwana?
 
La hasha si uungwana,ila ya ngoswe mwachie ngoswe mkuu! Kama wanabore wapake ukweli
 
Sio uungwana bt we waache na mapenz yao ye akiona sio sahii atajua afanye nn
 
He he he!
Mkuu kumsaidia ni wajibu wako kama ndugu kwa kile kiasi Mola alichokujalia ila nakushauri swala la kuingilia mapenzi yao wacha kabisa,,,
 
tatizo lenu mumezoea kuchuna tu kibao kikiwageukia inakua ishu wacha jamaa aendelee kuchuna, demu amekolezwa akatoa kadi

CC: Evelyn Salt
 
Last edited by a moderator:
Waacheni kama walivyo, no need to help..

Si walichaguana wenyewe? Let them eat their fruits!

Watoto wenye vichwa ngumu kama hao huwa wanajirudi baada ya kuwa isolated na kuonja joto ya jua!

Mkiendelea kumsaidia mtampa kichwa!

Shw is matured you know! Let her be alone..
 
Waacheni kama walivyo, no need to help..

Si walichaguana wenyewe? Let them eat their fruits!

Watoto wenye vichwa ngumu kama hao huwa wanajirudi baada ya kuwa isolated na kuonja joto ya jua!

Mkiendelea kumsaidia mtampa kichwa!

Shw is matured you know! Let her be alone..



Well said Excel
 
Last edited by a moderator:
Sio uungwana ila atakuwa ameyafurahia, hivyo asikupe shida pindi yakimchosha lazima atakushirikisha hivyo usiwe na haraka.
 
Mwambie aende benk aseme kadi yake imeibiwa...aombe kadi mpya,kama mjanja atafanya hivyo. Yaani mie ni toil mwezi mzima kisha yeye achukue mzigo wote haihusuu kwakweli..
 
We mwongo kabisa, hata mia haioni vocha anayokupigia simu kuomba hela anatoa wapi? Hata hivo km ana akili timamu kuna anachofaidi we hujui, waache!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom