Talha
JF-Expert Member
- Nov 11, 2021
- 202
- 220
Ila wanaume wengine ni chanzo cha uharibifu wa maisha ya mwanamke, kama mwanaume umeshindwa kuendelea na mwanamke kwanini usimuache kiamani unaamua kumzushia mambo ambayo hayafanyi ili umuharibie, ili jambo siyo zuri hata kidogo.
Mwanaume unamtoa mdada wa watu mahali au kwao unampeleka sehemu at the end of the days unamfukuza kama mbwa, this is not fair kabisa.
Wiki hii imekua ya mawazo kwangu baada ya ndugu yangu kupatwa na sekeseke katika mahusiano yake, ameishi na mwanaume amempa mtaji akaanza biashara, biashara imeonesha nuru, mwanaume kapata mwanamke mwingine basi muache mdada wa watu kama humtaki lakini wewe unamfukuza hutaki aishi aendelee na biashara uo mkoa yani kisa wewe ndiye uliye mleta lakini hajakukosea chochote muache kiamani.
This is not fair kbsa unajua kabisa mdada wa watu atatoboa kwenye hiyo biashara ata bila wewe unaamua kumuaribia, Mungu siku zote ni mwaminifu ukimfanyia mtu ubaya ipo siku yako Mungu atamfuta machozi uliyemfanyia ubaya.
Wanaume badilikeni unajua umepata mwingine muache mtu aendelee na life yake pale anapopataka, umemtoa mkoani leo unataka aondoke kisa wewe ndiye uliyemleta na mtu tayari kaanzisha biashara imesimama unataka kumrudisha nyuma.
Mwanaume unamtoa mdada wa watu mahali au kwao unampeleka sehemu at the end of the days unamfukuza kama mbwa, this is not fair kabisa.
Wiki hii imekua ya mawazo kwangu baada ya ndugu yangu kupatwa na sekeseke katika mahusiano yake, ameishi na mwanaume amempa mtaji akaanza biashara, biashara imeonesha nuru, mwanaume kapata mwanamke mwingine basi muache mdada wa watu kama humtaki lakini wewe unamfukuza hutaki aishi aendelee na biashara uo mkoa yani kisa wewe ndiye uliye mleta lakini hajakukosea chochote muache kiamani.
This is not fair kbsa unajua kabisa mdada wa watu atatoboa kwenye hiyo biashara ata bila wewe unaamua kumuaribia, Mungu siku zote ni mwaminifu ukimfanyia mtu ubaya ipo siku yako Mungu atamfuta machozi uliyemfanyia ubaya.
Wanaume badilikeni unajua umepata mwingine muache mtu aendelee na life yake pale anapopataka, umemtoa mkoani leo unataka aondoke kisa wewe ndiye uliyemleta na mtu tayari kaanzisha biashara imesimama unataka kumrudisha nyuma.