Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,662
MUONEKANO- Awe mzuri wa kawaida tu, kwani naamini binadamu wote ni wazuri sema tunazidiana kwenye maeneo flaniflani, ila tuwe na uwiano kwenye height
AWE MCHA MUNGU- Apende kusali, hata kama hatokwenda kanisani mara zote, angalau aende mara mojamoja basi
ASILI- Sichagui kabila ila naomba tu asiwe MMACHAME (usiniulize kwanini)
USAFI- Awe msafi wa ndani na nje, anukie vizuri wakati wote, sio anuke janaba!!!
ELIMU- Awe na elimu ya kuanzia degree, form 6 anaweza kufikiriwa pia ila kama ana dhamira ya dhati ya kutaka kujiendeleza kielimu
ASIWE TOO DEMANDIND- Yani akitaka jambo lake eti ni lazima liwe, tena kwa wakati alioupanga yeye
TABIA- Asiwe na gubu, akihisi nimemkosea aniulize ili apate ufafanuzi, sio alipize
UPENDO- Anipende kwa dhati, mimi pamoja na ndugu zangu esp baba na mama mkwe wake
ASINIZUIE KUNYWA POMBE- Sio lazima ninywee bar, naweza nikanunua kakreti kangu nikawa nakatwanga nyumbani
UBUNIFU- Awe mbunifu kwa kuchangia mawazo on how to utilize the resources available ili tujistabilize kimaisha
AONYESHE DALILI ZA KUTAKA KUNISAIDIA NINAPOKWAMA- Huu ni msaada wa kimawazo au hata material things kama fedha (yaani asiwe bahili)
MIMI NADHANI WANAUME TULIO WENGI TUNAPENDA SIFA HIZI, KAMA TUTAPISHANA BASI NI KWENYE MAENEO MACHACHE SANA, AU MNASEMAJE MASELA....
AWE MCHA MUNGU- Apende kusali, hata kama hatokwenda kanisani mara zote, angalau aende mara mojamoja basi
ASILI- Sichagui kabila ila naomba tu asiwe MMACHAME (usiniulize kwanini)
USAFI- Awe msafi wa ndani na nje, anukie vizuri wakati wote, sio anuke janaba!!!
ELIMU- Awe na elimu ya kuanzia degree, form 6 anaweza kufikiriwa pia ila kama ana dhamira ya dhati ya kutaka kujiendeleza kielimu
ASIWE TOO DEMANDIND- Yani akitaka jambo lake eti ni lazima liwe, tena kwa wakati alioupanga yeye
TABIA- Asiwe na gubu, akihisi nimemkosea aniulize ili apate ufafanuzi, sio alipize
UPENDO- Anipende kwa dhati, mimi pamoja na ndugu zangu esp baba na mama mkwe wake
ASINIZUIE KUNYWA POMBE- Sio lazima ninywee bar, naweza nikanunua kakreti kangu nikawa nakatwanga nyumbani
UBUNIFU- Awe mbunifu kwa kuchangia mawazo on how to utilize the resources available ili tujistabilize kimaisha
AONYESHE DALILI ZA KUTAKA KUNISAIDIA NINAPOKWAMA- Huu ni msaada wa kimawazo au hata material things kama fedha (yaani asiwe bahili)
MIMI NADHANI WANAUME TULIO WENGI TUNAPENDA SIFA HIZI, KAMA TUTAPISHANA BASI NI KWENYE MAENEO MACHACHE SANA, AU MNASEMAJE MASELA....