Wanaume wengi ni majanga........

Hivi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengine hawajiamini katika kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
Na wewe unayekubali kumpa namba una uhakika gani kama unayempa ni mtu
 

wana tabia za kumbikumbi!!
 
wanaume huamini kabisa kuwa akipata namba tu TAYARI ANA POINT 3 ZA MEZANI.
 
Modes hii opershen ya kumerge ID iendelee tu

from regina wa ukweli Baby wangu to Fitter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…