Mallia
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 437
- 1,532
Nimeshtuka baada ya kuona uzi wa member aliyekuja kuomba ushauri kuhusu kuwekeza kwa mwanamke , na kati ya waliokuwa wanamponda mmoja wapo nishamchuna sana tokea naanza jf alikuwa ananisumbua sana pm, hadi nikampa namba think mtu hatujawahi kukutana nilikuwa natumiwa hela kila nlipohitaji na nauli ya kutoka Dar kumfuata Mwanza alinitumia 470,000 niende kwa ndege nauli nikala na mwanza sikutokea hadi leo hana ham na mimi
Huyo mtu leo ndio yupo front line anamponda mwenzie kuwa analiwa
Hii ndio Jamii forum , humu kila mwanaume huwa ana pesa, nguvu za kiume, kila mtu huwa ni mjuaji wachache ndio huwa wanakuwa wakweli ila sasa mtu akiongea ukweli unaweza kuta mtu kwenye shida kama yake anakuja kumponda hii ndio Jf
Tukubali tu hakuna mwanaume ambaye hawekezi kwa mchumba , yaani usipowekeza Direct utawekeza kwa vizinga tu , kuna watu humu wanachunwa hatari, mwanamke kila wiki anatumiwa mahitaji yote , sijui bby nataka nguo hii hela inatumwa unakuta mwanamke anafungua biashara kwa hela ya mizinga tu
Wanaume wengi humu mshatufungulia biashara kwa mizinga tunayowapiga yani usipowekeza direct utawekeza kwa vizinga, wengi humu mnachunwa , ni sawa na wanaofungua bishara tu open ,mlojificha na nyie ni wale wale na ndio maana mnalalamika kila siku tumezidi vizinga
Huyo mtu leo ndio yupo front line anamponda mwenzie kuwa analiwa
Hii ndio Jamii forum , humu kila mwanaume huwa ana pesa, nguvu za kiume, kila mtu huwa ni mjuaji wachache ndio huwa wanakuwa wakweli ila sasa mtu akiongea ukweli unaweza kuta mtu kwenye shida kama yake anakuja kumponda hii ndio Jf
Tukubali tu hakuna mwanaume ambaye hawekezi kwa mchumba , yaani usipowekeza Direct utawekeza kwa vizinga tu , kuna watu humu wanachunwa hatari, mwanamke kila wiki anatumiwa mahitaji yote , sijui bby nataka nguo hii hela inatumwa unakuta mwanamke anafungua biashara kwa hela ya mizinga tu
Wanaume wengi humu mshatufungulia biashara kwa mizinga tunayowapiga yani usipowekeza direct utawekeza kwa vizinga, wengi humu mnachunwa , ni sawa na wanaofungua bishara tu open ,mlojificha na nyie ni wale wale na ndio maana mnalalamika kila siku tumezidi vizinga