mzee wa mita 200 kwan we n mweupeAkili ndogo saana..... Etu uzuri wa mwanaume pesa.....hapo hapo unalalamika mara kitandani hamna kitu....
Sijui Ni nan aliyewaroga baadhi ya wanawake hawajui nn wanataka in relationship.....
With This mentality.....mtaendelea kuumizwa deile...
Mawazo yako Mkuu kila mtu na machaguo yakeSuzitaki mbich hizi
Mhhhh...!!! Cdhan kama ni kweliWanawake wengi hupenda wanaume weusi na wanaume weusi hupenda ke nyeupe
Sasa kwa nini muwapondee ati. Mti wenye matunda ndio hupigwao Mawe. Ila majamaa yana mbegu bora sana mkifyatua mtoto anakuwa wa ukweli ndio maana wanawake wengi wanawapapatikia wanaishia kupigwa alafu kisha wanaanza kuwaponda kama mtoa mada.Mawazo yako Mkuu kila mtu na machaguo yake
Kweli kabisa mkuuMhhhh...!!! Cdhan kama ni kweli
mkuu umepigwa kibuti niniKwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Fanya siku utadadavue na sisi tusioeleweka kala yetu.Nyie semen muonavyo but ukweli utabaki palepale na wahusika wanajijua kabisa na hayo wanayafanya sijatendwa wala nn na kwanza siwez shobokea hao coz hawanivutii hataa me napenda chocolate color na weusi sio hao watu aisee tena mwingine unakuta weupe wenyewe mbaya kama sabuni za komoa lakini linajisikia ka limwanamke chefuuuu
Sifa ya mtoa uzi huu
Nimwanamke anayependa kuwashobokea wanaume warefu weupe tena wasio mpenda na hawamjali katika uhusiano.
DuhWanaume weupe nawaitaga mapapai sionagi mvuto wao hata kidogo ila mashauzi debe.
Ha ha ha ha ha ha haNyie semen muonavyo but ukweli utabaki palepale na wahusika wanajijua kabisa na hayo wanayafanya sijatendwa wala nn na kwanza siwez shobokea hao coz hawanivutii hataa me napenda chocolate color na weusi sio hao watu aisee tena mwingine unakuta weupe wenyewe mbaya kama sabuni za komoa lakini linajisikia ka limwanamke chefuuuu
We mwenyw huna vigezo halafu unachaguaWanaume weupe nawaitaga mapapai sionagi mvuto wao hata kidogo ila mashauzi debe.