MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Kama wewe umenipenda, ya nini kunidanganya bwana
Kujibandika madaraka siyo yako bwana weeeewe
Nimesikia tetesi kuwa huna lolote hata kazi huna eh
Unazurura mchana kutwa, kupita kurandaranda mitaani
kumbe hukuwa na uwezo wa kunioa, ila kuniharibia maisha
Nikuelewe vipi eh Babu ee
Uaminifu wako uko wapi ee papaaa............kina Karubandika walikuwepo toka enzi hizo, wapo wanaishi na wataendelea kuishi. Kuepuka kudandiwa ni bora kusugua magoti kwa sala upatiwe yule uliandikiwa. Haya yanatokana na maisha ya usasa kuwa nasi wanawake tunatakiwa kusearch yaani sio usubiri kama walivyokuwa wanafanyiwa wazee wetu zamani.......mtoto wa mzee anayefahamika vema ndie anakuja kuposa na kuoa ....
Kujibandika madaraka siyo yako bwana weeeewe
Nimesikia tetesi kuwa huna lolote hata kazi huna eh
Unazurura mchana kutwa, kupita kurandaranda mitaani
kumbe hukuwa na uwezo wa kunioa, ila kuniharibia maisha
Nikuelewe vipi eh Babu ee
Uaminifu wako uko wapi ee papaaa............kina Karubandika walikuwepo toka enzi hizo, wapo wanaishi na wataendelea kuishi. Kuepuka kudandiwa ni bora kusugua magoti kwa sala upatiwe yule uliandikiwa. Haya yanatokana na maisha ya usasa kuwa nasi wanawake tunatakiwa kusearch yaani sio usubiri kama walivyokuwa wanafanyiwa wazee wetu zamani.......mtoto wa mzee anayefahamika vema ndie anakuja kuposa na kuoa ....