I also missed you guys. Ngoja nijifamilialaizi na yale yaliyotendeka nyuma yangu!
I hope sijapokonywa mume. LOL
Kubembeleza ndoa, si unajua tena. Full kupretend kuwa unapenda kupika (wakati nimeshasau kupika hata tea masala), sijui kufua (yaani nimechubukaje mikono), gardening n.k!
Lkn pamoja na yote hayo, l have the feeling kuwa nimeshindwa! LOL
Dah, mie ni mtu nayependa kuwa home mapema sana, kabla jua halijazama nataka niwe homeKongosho ushadanganya mara ngapi?
Hiyo ya kuda utachelewa kazini kwa sababu ya kazi nyingi inakuhusu sana...LOL
Huwezi nyang'wanywa mme, alivyo mwaminifu
He he he he, ndoa imekuwa ndoana kabla ya kuanza??
Huwezi shindwa bana, unaonekana ni mtu unayejua utakacho na kwa gharama gani
Karata niliyobaki nayo ni ya bedroom pekee. LOL
He he he he, uko mzima pande hiyo? Lucky you!
Hata brain inamfanya mwanamke anakuwa more interesting kama hujui.
Mimi si muongo!!! NASISITIZA NI UKWELI MPAKA ATOKEE MTU WA KUTHIBITISHA PASI SHAKA YOYOTE KUWA IM NOT!!!!! NA KUWA NILIMPA KIDUDE, ATOE NA SUPORTING EVIDENCE!!!! For the time being im queen virgin here!!! Hahaaaaaa! Unasonyaje kimya kimya!!!! LOL! FOR THE TIME BEING IM INOCENT UNTILL PROVEN GUILTY!!!! Hahahaaaaa! TRUST ME IM ENJOYING WHILE IT LASTS!!!!