Catherine
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,261
- 758
sometimes ukweli unatuumiza ila ni bora tupate hayo maumivu kwa muda huo pengine kwa namna moja au nyingine tunaweza kuchukulia kama changamoto ya kutufanya tuwe imara. Mfano unapomwambia mpenzi wako chakula kitamu wakati siyo inaweza mfanya kesho arudie mapishi yale yale wakati ungemwambia ukweli next tym ungekula msosi wa uhakika.