juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,472
Dah,username yako imenikumbusha mbali sana,enzi hizo za Tamul Army...Namiliki gym mbili mjini hapa na ni mwl pia lakin mbona sijawatafuna kiivyo? au tatizo ni mimi
Dah,username yako imenikumbusha mbali sana,enzi hizo za Tamul Army...Namiliki gym mbili mjini hapa na ni mwl pia lakin mbona sijawatafuna kiivyo? au tatizo ni mimi
kweli mkuuAcha bwebwe mkuu
Ngoja na mimi nitafute nione kama sitohangaika sana...wanaume wanaoongoza kula papuchi bila shida ni mameneja wa Bar. Kuna dada mmmoja niko nae karibu anafanya kazi bar anasema kabla ya kuajiriwa meneja anakuonja kwanza halafu ndo kazi inaanza.
Wanaofatia ni wakuu wa vitengo mbali mbali kwenye maofisi. Watu wanatumia nafasi zao kuwanyanyasa kijinsia dada zetu mbaya sana hii.
Hebu na nyie tajeni manaowafahamu labda kupitia uzi huu watajirekebisha kwani sio utu hata kidogo.
Wanaume wa kwenye gym
Hutaki tu.Namiliki gym mbili mjini hapa na ni mwl pia lakin mbona sijawatafuna kiivyo? au tatizo ni mimi
Yani nikiona comment yako moyo unananiiWatajirekebishaje na ndio tabia yao hapa hivyo viumbe ni shida
Ututajie na wanaume ambao hawafaidi utamu wa papuchiwanaume wanaoongoza kula papuchi bila shida ni mameneja wa Bar. Kuna dada mmmoja niko nae karibu anafanya kazi bar anasema kabla ya kuajiriwa meneja anakuonja kwanza halafu ndo kazi inaanza.
Wanaofatia ni wakuu wa vitengo mbali mbali kwenye maofisi. Watu wanatumia nafasi zao kuwanyanyasa kijinsia dada zetu mbaya sana hii.
Hebu na nyie tajeni manaowafahamu labda kupitia uzi huu watajirekebisha kwani sio utu hata kidogo.
Sawa nitakutafuta ili utoe ushuhudaFIKIRIA KUHUSU MALECTURE ALAFU UTAPAT JIBUUU... Tena wanakulaa vibichiii...
Jolie... nsamehe tu.. MI NAKUHISIMaboss wenye ofisi zao
Umewasahau madereva wa malori mkuuWanaume wanaofanya kazi katika sekta mbali mbali huongoza kwa kula papuchi za wadada.
1. Waalimu wa chuo kikuu / shule ya msingi / shule ya awali ( nursery )
2. Wauza chipsi.
3. Wauza nguo.
4. Watoa lifti
5. Matrafiki
6. Fundi nguo
7. Fundi magari
8. Wapaka kucha rangi ( waha kigoma )
9. Wapambaji maharusi.
10. Saloni.
11. Gym
12. Kocha.
13. Mameneja
14. Walinzi
15. Pastors
16. Padri
17. Wanamuziki
18. Ma - producer
19. Wafanya biashara
20. W C B WASAFI