nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Unabenda kubembelezwaeeeh. Haya tuone kama utaendelea kubembelezwa mpaka ukiwa unafungwa pampus. Lol.
Kuna mmoja aliacha nyumba yake kubwa upanga kaenda kusihi vichochoroni na nyumba ndogo for more than 10 years. Alirudi mwneyewe alipoanza kuvaa pampus. Kakuta watoto wameshakuwa tena wa kwanza ni MD. Mkewe kamsamehe lakini kamuonyesha chumba cha wageni, kamtunza mpaka alipo dead. Mimi ningemtimulia mlangoni aisee. Ukiwa mzima unatanua na vimada, unaumwa unakumbuka kuwa una nyumba kubwa. Msonyoooo.
Kuna mmoja aliacha nyumba yake kubwa upanga kaenda kusihi vichochoroni na nyumba ndogo for more than 10 years. Alirudi mwneyewe alipoanza kuvaa pampus. Kakuta watoto wameshakuwa tena wa kwanza ni MD. Mkewe kamsamehe lakini kamuonyesha chumba cha wageni, kamtunza mpaka alipo dead. Mimi ningemtimulia mlangoni aisee. Ukiwa mzima unatanua na vimada, unaumwa unakumbuka kuwa una nyumba kubwa. Msonyoooo.
Tunachofuata huko ni kubembelezwa na kudekezwa baada ya kupata shuruba za kazini na za nyumba kubwa.