Wanaume wanaooa ‘nyumba ndogo’ huwa hawadumu nazo……………….!

Unabenda kubembelezwaeeeh. Haya tuone kama utaendelea kubembelezwa mpaka ukiwa unafungwa pampus. Lol.

Kuna mmoja aliacha nyumba yake kubwa upanga kaenda kusihi vichochoroni na nyumba ndogo for more than 10 years. Alirudi mwneyewe alipoanza kuvaa pampus. Kakuta watoto wameshakuwa tena wa kwanza ni MD. Mkewe kamsamehe lakini kamuonyesha chumba cha wageni, kamtunza mpaka alipo dead. Mimi ningemtimulia mlangoni aisee. Ukiwa mzima unatanua na vimada, unaumwa unakumbuka kuwa una nyumba kubwa. Msonyoooo.

Tunachofuata huko ni kubembelezwa na kudekezwa baada ya kupata shuruba za kazini na za nyumba kubwa.
 
mie mbona baba yangu kadumu mwaka wa kumi huu sasa tangia aopoe kabinti,,,,,kuna theory ukishaacha mke wa kwanza,ukampata wa pili ukagundua na yeye ana mapungufu,UNAJIFUNZA kuwa labda wanawake wote wana mapungufu hivyo swala la kutafuta mkamilifu linakutoka,hivyo unasettle.
 
Ni ngumu kukubali au kukataa theory yako; kwani si wanaume wengi wanaama nyumba zao sababu ya vimada hivyo ni ngumu kupata evidence. Katika jamii ni aibu kubwa kwa baba mwenye familia kukimbia nyumba yake no matter what.

Na ina effect kubwa sana kwa watoto; kuna dada rafiki yangu toka Uganda alikuwa analia daily kwa kuwa baba yao ameama mji. Na anasema hatakaa aolewe. Sasa nambie huyo mwanaume ambaye si mkewe tu bali hata watoto wanamlilia unadhani atakuwa na bright future huko aendako kama si laana!

mie mbona baba yangu kadumu mwaka wa kumi huu sasa tangia aopoe kabinti,,,,,kuna theory ukishaacha mke wa kwanza,ukampata wa pili ukagundua na yeye ana mapungufu,UNAJIFUNZA kuwa labda wanawake wote wana mapungufu hivyo swala la kutafuta mkamilifu linakutoka,hivyo unasettle.
 
Madame x wanawake ni hopeless always including me. Hatuna akili yakuchanganua kwamba huyo mwanaume anatuchezea akili ama la. Hivi wewe kwa akili isiyohitaji kusoma, kuna chochote nyumba ndogo inamzidi mke original? Excuse me! Nyumba ndogo always ni za kutolea uchovu end of the day unaachwa kwenye mataa, ikibahatika kuolewa ihesabie anakuja mwingine ku-overtake!

Kama siyo ukilaza na upumbavu uliopitililza, mwanamke na akili zilizochanganyika na matope unaolewa mke wa 3, hao wa wawili mbele yako ni ni majuha? Wanawake amkeni acheni ujinga na upumbavu, tuache kunyonga, tujifunze kuchinja

Well said CD, mimi hili huwa nikiongea watu wananitokea cheche!! Simlaumu mwanamke anayetembea na mwanaume pasipokujua kuwa huyo ni mume wa mtu! LAKINI kwa wewe unayefahamu kuwa MR. X kamuoa dada Y, wana watoto kadhaa, na bado ukatembea nae na hata kufikia hatua ya kuzaa naye, nakuhakikishia kuwa hiYo ni LAANA MAISHANI MWAKO NA KWA VIZAZI VYAKO, hii naisema special kwa non islamic ambao ndoa zetu ni za mke mmoja. Laana hiyo inaweza isikupate wewe directly lakini vizazi vyako vinaweza kuathirika vibaya.

Nina mfano halisi in my family, kuna mwanamke aliingilia ndoa ya my mother, na akazaa 4 children na mzee! Mwisho wa siku huyo mama akafumaniwa na friend wa mzee, alitimuliwa kama mbwa mwizi! Katika hao 4 children, mmoja ni msichana, sasa dogo anabeba ile laana ya mama yake! Sitaki kusimulia whats happening to her.
 
Mfano nilikuwa naangalia CNN juzi kati; huyu mke wa Kennedy alojiua; si amekaa kwenye ndoa miaka kumi na sita sijuhi; leo hii anaambiwa its over anaamua kujimaliza wakati amesahau mmewe alikuwa mume wa watu; aka divorce amuoe yeye. Zamu yake imefika anakataa ukweli, kuwa what goes around comes around.
 
Vitabu vimeandika, hatuoni wala kusikia, end of the day yale uliyofanya kwa mwenzako yanakuja vile vile. Tuombe mungu wanawake wote, tuwe na akili ya kupambanua!
 
Mfano nilikuwa
naangalia CNN juzi kati; huyu mke wa Kennedy alojiua; si amekaa kwenye
ndoa miaka kumi na sita sijuhi; leo hii anaambiwa its over anaamua
kujimaliza wakati amesahau mmewe alikuwa mume wa watu; aka divorce amuoe
yeye. Zamu yake imefika anakataa ukweli, kuwa what goes around comes
around.

Amesahau kuwa kwa mwali huliwa na kwa kungwi pia huliwa!
 
Ni ngumu kukubali au kukataa theory yako; kwani si wanaume wengi wanaama nyumba zao sababu ya vimada hivyo ni ngumu kupata evidence. Katika jamii ni aibu kubwa kwa baba mwenye familia kukimbia nyumba yake no matter what.

Na ina effect kubwa sana kwa watoto; kuna dada rafiki yangu toka Uganda alikuwa analia daily kwa kuwa baba yao ameama mji. Na anasema hatakaa aolewe. Sasa nambie huyo mwanaume ambaye si mkewe tu bali hata watoto wanamlilia unadhani atakuwa na bright future huko aendako kama si laana!

Nyumba Kubwa fikiria
1. Chukulia mwanaume unagundua mke na mwanaume mwingine. Mnasuluhisha, mara ya kwanza, ya pili.... unagundua bado wanaendeleza libeneke. Unamwomba basi kila mtu 50 zake anakataa. Ndoa ni zile zisizovunjika, na una watoto. Unafanyaje hapo?

2. Chukulia mwanaume unagundua mke ni mshirikina. Mnasuluhisha, mara ya kwanza, ya pili.... unagundua bado anaendeleza za kwa mutimuti. Unamwomba basi kila mtu 50 zake anakataa. Ndoa ni zile zisizovunjika,na una watoto. Unafanyaje hapo?

3. Chukulia mwanaume unagundua mke ni mwizi. Mnasuluhisha, mara ya kwanza, ya pili.... unagundua bado anaendeleza udokozi. Unamwomba basi kila mtu 50 zake anakataa. Ndoa ni zile zisizovunjika, na una watoto. Unafanyaje hapo?
 
Wanasema mbio za sakafuni huishia ukingoni, na hakuna marefu yasiyo na ncha. Kuna kaka alishawahi kujitapa kwangu kuwa ana anniversary ya 10 yrs na small house ambayo ni mke wa mtu na mtoto wamezaa bila kustukiwa na yeyote. 3 yrs later namuuliza sijaskia small house, hajambo? Alinijibu 'myayusho, tushamwagana'.

Na mie nasaka nyumba ndogo jamani, ngoja nianzishe uzi.
 
Nikisema laana sina maana inampata mtu aso na kosa. Hata wanawake japo si wengi kama wanaume, wapo wanaokimbia nyumba zao. Nawajua wawili; mmoja huyo ni mtu wangu wa karibu mwingine ni jirani.

Huyu mama jirani (kwa wazazi wangu) alipata kazi ofisi mojawapo za UN nje ya nchi; mmewe alikuwa yupo yupo hana kazi, nadhani alikuwa na kazi before akatimuliwa au alikuwa na biashara, amefulia, walikuwa ni wageni kitaani hivyo sina details. Mwanamke alienda nje sijuhi contract ya miaka miwili (kama sikosei) hakuwahi hata kupiga simu, miaka imekatika mpaka wa leo hajarudi kwa mumewe; ni more than 10 years now na watu wanasema kamkimbia mumewe arosto. Na watoto aliwaacha, imagine! Sidhani kama mambo yake yanamnyookea popote alipo.

Mwingine huyu ni mdogo wa wifi yangu; baba yao ni tajiri sana. Binti kaolewa na pedegee mmoja lakini kijana akashindwa ku mantain life style anayopenda binti baada ya ku shake kiuchumi. Binti karudi kwao na mtoto wake na kakomba vitu vyote vya ndani. Baba yake na ndugu zake wakamwambia hawana uwezo wa kumlazimisha ndoa, ila arudishe vitu vya watu. Kwa ufupi kilichofuata akawa anaama nyumba moja baada ya nyingine; mwisho aliamia kwa jamaa mmoja maarufu mujini, akamfanya mke bila ndoa; jamaa keshakufa na HIV, binti hata soko kwa sasa hana. Wanaume wanamuogopa kama ukoma.


Nyumba Kubwa fikiria
1. Chukulia mwanaume unagundua mke na mwanaume mwingine. Mnasuluhisha, mara ya kwanza, ya pili.... unagundua bado wanaendeleza libeneke. Unamwomba basi kila mtu 50 zake anakataa. Ndoa ni zile zisizovunjika, na una watoto. Unafanyaje hapo?

2. Chukulia mwanaume unagundua mke ni mshirikina. Mnasuluhisha, mara ya kwanza, ya pili.... unagundua bado anaendeleza za kwa mutimuti. Unamwomba basi kila mtu 50 zake anakataa. Ndoa ni zile zisizovunjika,na una watoto. Unafanyaje hapo?

3. Chukulia mwanaume unagundua mke ni mwizi. Mnasuluhisha, mara ya kwanza, ya pili.... unagundua bado anaendeleza udokozi. Unamwomba basi kila mtu 50 zake anakataa. Ndoa ni zile zisizovunjika, na una watoto. Unafanyaje hapo?
 
Natamani naniliu aje asome hapa..... Mtambuzi nikupe namba yake ya simu umtumie sms umwambie kuna habari inamhusu hapa?
 
Last edited by a moderator:
Wajameni, kuna mtu aliyebaki wa kunipa taarifa kuwa hapa tunadiskasheni nini? kama ni mjadala wa nyumba ndogo, naomba nisishiriki. Kama ni kitu kingine , hebu naombeni mmojawenu aniambie?
 
Unabenda kubembelezwaeeeh. Haya tuone kama utaendelea kubembelezwa mpaka ukiwa unafungwa pampus. Lol.

Kuna mmoja aliacha nyumba yake kubwa upanga kaenda kusihi vichochoroni na nyumba ndogo for more than 10 years. Alirudi mwneyewe alipoanza kuvaa pampus. Kakuta watoto wameshakuwa tena wa kwanza ni MD. Mkewe kamsamehe lakini kamuonyesha chumba cha wageni, kamtunza mpaka alipo dead. Mimi ningemtimulia mlangoni aisee. Ukiwa mzima unatanua na vimada, unaumwa unakumbuka kuwa una nyumba kubwa. Msonyoooo.

nyumba kubwa hii habari imenishtua kama ya marehemu ninae mfahamu,ila yy watoto ndio waliomuomba mama yao ampokee baba yao amuuguze maana ND ilishamkimbia na kuchukua mali zooote! Ila wanawake nawapeni pongezi mna huruma sana jamani mi pia nilisema ningemtoa baruuu,wamama watu wazima wakaniambia nasema tu kwakua halijanifika bado.
 
Last edited by a moderator:
Wajameni, kuna mtu aliyebaki wa kunipa taarifa kuwa hapa tunadiskasheni nini? kama ni mjadala wa nyumba ndogo, naomba nisishiriki. Kama ni kitu kingine , hebu naombeni mmojawenu aniambie?

Lol Kaizer hapa inshu ni NK na ND hivyo basi naomba tu ukalale ili kesho usichelewe kuamka,kumbuka unatakiwa kuwahi pale mahala petu.
Njozi njema
 
Last edited by a moderator:
Nyumba Kubwa fikiria
1. Chukulia mwanaume unagundua mke na mwanaume mwingine. Mnasuluhisha, mara ya kwanza, ya pili.... unagundua bado wanaendeleza libeneke. Unamwomba basi kila mtu 50 zake anakataa. Ndoa ni zile zisizovunjika, na una watoto. Unafanyaje hapo?
2. Chukulia mwanaume unagundua mke ni mshirikina. Mnasuluhisha, mara ya kwanza, ya pili.... unagundua bado anaendeleza za kwa mutimuti. Unamwomba basi kila mtu 50 zake anakataa. Ndoa ni zile zisizovunjika,na una watoto. Unafanyaje hapo?
3. Chukulia mwanaume unagundua mke ni mwizi. Mnasuluhisha, mara ya kwanza, ya pili.... unagundua bado anaendeleza udokozi. Unamwomba basi kila mtu 50 zake anakataa. Ndoa ni zile zisizovunjika, na una watoto. Unafanyaje hapo?

Ok napenda kushea uelewa wangu juu ya "ndoa zisizovunjika", kwanza kabisa ndoa ni kiapo cha makubaliano ya kuishi mme na mke hapa duniani, hivyo si agano la milele ndio maana mmoja akifariki mwenza huwa huru kuoa/olewa , pili si kweli kwamba ndoa haivunjiki- kuna mambo hupelekea kuvunjika kwa ndoa nayo ni hiyo namba moja UASHERATI, iwapo mme/mke atafanya uasherati mwenzi wake anaweza na anaruhusiwa kutoka kwenye hiyo ndoa maana agano la ndoa limevunjika. namba mbili ni UCHAWI / USHIRIKINA-japo huwa ni ngumu kuthibitisha kuwa mme/mke ni mchawi, lakini ikithibitika ndoa inaweza kuvunjwa kabisa. Wandugu ndoa si adhabu kwamba ukubaliana na uovu wowote mme/mke atakao kufanyia no no its not true! ila kama mtu mwenyewe kwa sababu zake ataendelea kuishi kwenye "ndoa jina" good for him/her. Mimi huwa natafakari wakati mwingine kwamba ikiwa ndoa kwa maana ya agano huvunjika mtu anapofanya uasherati hivi mbele za Mungu kuna ndoa ngapi.. maana ndoa sio cheti cha ndoa bali ni lile agano/yamini. God help us
 
Unabenda kubembelezwaeeeh. Haya tuone kama utaendelea kubembelezwa mpaka ukiwa unafungwa pampus. Lol.

Kuna mmoja aliacha nyumba yake kubwa upanga kaenda kusihi vichochoroni na nyumba ndogo for more than 10 years. Alirudi mwneyewe alipoanza kuvaa pampus. Kakuta watoto wameshakuwa tena wa kwanza ni MD. Mkewe kamsamehe lakini kamuonyesha chumba cha wageni, kamtunza mpaka alipo dead. Mimi ningemtimulia mlangoni aisee. Ukiwa mzima unatanua na vimada, unaumwa unakumbuka kuwa una nyumba kubwa. Msonyoooo.


Hahahahah lol! mbona hukumalizia bana nyumba kubwa!!!? Msonyooooo mrefuuuu...
Mxchyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu hahahahah lol!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom