Tanganyika one
Member
- Oct 2, 2012
- 18
- 8
jamani mie nina swali nataka kujibiwa nyie mna mchukuliaje mwanaume asiye fanya kazi , akiwa na elimu yake na nguvu zake akihongwa na mwanamke kwa ujira wa penzi?
jamani mie nina swali nataka kujibiwa nyie mna mchukuliaje mwanaume asiye fanya kazi , akiwa na elimu yake na nguvu zake akihongwa na mwanamke kwa ujira wa penzi?
jamani mie nina swali nataka kujibiwa nyie mna mchukuliaje mwanaume asiye fanya kazi , akiwa na elimu yake na nguvu zake akihongwa na mwanamke kwa ujira wa penzi?
Mjini Mipango sio SHULE!!!! Hiyo ni mipango, na wengi wametoka(wametolewa) kimaisha
Hii species ya wanaume inakuwa extinct soon. I hope scientists wanahifadhi sperms.
Ila mtoa mada kuna kuhongwa na kulelewa. Ukisema asie na kazi analimishwa ndo anapewa matumizi huyo anauza. Ni biashara kana ilivyo uchangu.
jamani mie nina swali nataka kujibiwa nyie mna mchukuliaje mwanaume asiye fanya kazi , akiwa na elimu yake na nguvu zake akihongwa na mwanamke kwa ujira wa penzi?
mie nimekusanya sperm kwenye madiaba.
Nauza kwa kipimo cha kijiko cha chai mil 10, na mtu akijiwekea mimba isiposhika analipia tena.
Hii biashara inalipa sana aisee.