ziloi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 758
- 1,063
Ndugu zangu naombeni ushauri, Tangu nimeoa sijawahi ishi mbali na mama watoto wangu na mda wote huo tumeishi wote sijawahi kumsaliti au kupata tamaa na mwanamke mwingine zaidi tu ya kuwakodolea macho wanawake wenye makalio makubwa na mishepu yao nakula kwa macho, badae jioni naenda kuvutia hisia kwa mke wangu.
Sasa tatizo hapa linakuja baada ya mimi kupelekwa mbali sana naye na hadi sasa ni miezi 2 sijawahi kumwona na kumwona ni hadi mwaka uishe kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Mbaya zaidi na yeye hawez kunifuata huku sababu ya kazi yako, Biashara zangu na familia.
Nikiongea naye usiku huwa namtamani sana hadi najikuta mchana mzima nawaza hicho kitendo kitu kinachonipelekea mwili wote unakuwa na uchovu fulani hivi usioelezeka na akili yangu imekuwa nzito balaa na mbaya zaidi nimekuwa mtu wa hasira sana. Kweli ndo naelewe kwamba nyege ni mbaya sana kuliko njaa.
Nahisi ukomo wangu wa kufikiri umeishia hapo, Tafadhari tushirikishane nyie wanaume mnaosafiri mbali na wake zenu wenda ndani au nje ya Nchi mnafanya vipi? Tofauti na kutoka nje ya ndoa yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tatizo hapa linakuja baada ya mimi kupelekwa mbali sana naye na hadi sasa ni miezi 2 sijawahi kumwona na kumwona ni hadi mwaka uishe kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Mbaya zaidi na yeye hawez kunifuata huku sababu ya kazi yako, Biashara zangu na familia.
Nikiongea naye usiku huwa namtamani sana hadi najikuta mchana mzima nawaza hicho kitendo kitu kinachonipelekea mwili wote unakuwa na uchovu fulani hivi usioelezeka na akili yangu imekuwa nzito balaa na mbaya zaidi nimekuwa mtu wa hasira sana. Kweli ndo naelewe kwamba nyege ni mbaya sana kuliko njaa.
Nahisi ukomo wangu wa kufikiri umeishia hapo, Tafadhari tushirikishane nyie wanaume mnaosafiri mbali na wake zenu wenda ndani au nje ya Nchi mnafanya vipi? Tofauti na kutoka nje ya ndoa yako.
Sent using Jamii Forums mobile app