Nawapa hii password.
Wanawake wanakereka sana, pale inapotokea ni mkeo au mchepuko wako, (ngoja ni base kwa mchepuko).
Siku hiyo mwanaume umejitutumua umelala na huo mchepuko, yaani mmeamua kuchukua room au sehemu yoyote ile ambayo siku hiyo mmepanga mtalala usiku wote hadi asubuhi mkiwa wawili.
Mmefanya cha kwanza (mapema tu), mjue mnakera sana, inafika saa nane usiku hata muda mwingine ambao wote usingizi umewapatia, halafu wewe mwanamme rijali unastuka usingizini, wakati huo unahitaji la kutaka ku "do" tena, sasa kero inakuja pale UNAPOANZA KUIMBISHA UPYA, kwa mfano... Nakwede, Nakwede, naomba unipe mambo!!!!!! 🤬🤬🤬🤬🤬, Au hata kile cha asubuhi, eti unaomba "nipe mpenzi wangu!!!
Inakera sana. Kuna sababu gani ya kuniomba tena, mnashindwa nini kuanza kucheza tu na mwili wa mwanammke hadi ajue kwamba "unataka"?
Ya nini kuanza kuomba upya utadhani ndio tunatongozana! mnatutoa kwenye stimu bwana!!!! Cheza na mwili wangu sio kuniomba utadhani unaomba karanga!!!
Povu ruksa, nikafulie nguo zangu wikiendi hiii
Wanawake wanakereka sana, pale inapotokea ni mkeo au mchepuko wako, (ngoja ni base kwa mchepuko).
Siku hiyo mwanaume umejitutumua umelala na huo mchepuko, yaani mmeamua kuchukua room au sehemu yoyote ile ambayo siku hiyo mmepanga mtalala usiku wote hadi asubuhi mkiwa wawili.
Mmefanya cha kwanza (mapema tu), mjue mnakera sana, inafika saa nane usiku hata muda mwingine ambao wote usingizi umewapatia, halafu wewe mwanamme rijali unastuka usingizini, wakati huo unahitaji la kutaka ku "do" tena, sasa kero inakuja pale UNAPOANZA KUIMBISHA UPYA, kwa mfano... Nakwede, Nakwede, naomba unipe mambo!!!!!! 🤬🤬🤬🤬🤬, Au hata kile cha asubuhi, eti unaomba "nipe mpenzi wangu!!!
Inakera sana. Kuna sababu gani ya kuniomba tena, mnashindwa nini kuanza kucheza tu na mwili wa mwanammke hadi ajue kwamba "unataka"?
Ya nini kuanza kuomba upya utadhani ndio tunatongozana! mnatutoa kwenye stimu bwana!!!! Cheza na mwili wangu sio kuniomba utadhani unaomba karanga!!!
Povu ruksa, nikafulie nguo zangu wikiendi hiii