Wanaume Wakichaga Mna Nini?

Wanaume Wakichaga Mna Nini?

Aunt Lisa

Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
72
Reaction score
26
Kwakweli Nasikitishwa Saana Na Tabia Za Wanaume Wakichaga Japo Kua Sio Wote Lkn Inaudhi Saana..

Yaani Tabia Ya Kuzalisha Kila Mwanamke Wanaomwona Mzuri, Unakuta kijana Ana Miaka 25 Tu Lkn Kila Girlfriend Aliyekua Naye Ana Mtoto, Watoto Wamejaa Ka Utitiri, Wengine Hata Hawako Responsible Kwa Makuzi Ya Hao Watoto Wao, Zao Ni Kunywa Pombe Na Kutafuta Hela!

Kwa Style Hii Mwanaume Wakichaga Ni Wakuogopwa Saana Unaeza Kujiona Umepata Kumbe Umepatikana!!
Badilikeni!!
 
Kwakweli Nasikitishwa Saana Na Tabia Za Wanaume Wakichaga Japo Kua Sio Wote Lkn Inaudhi Saana..

Yaani Tabia Ya Kuzalisha Kila Mwanamke Wanaomwona Mzuri, Unakuta kijana Ana Miaka 25 Tu Lkn Kila Girlfriend Aliyekua Naye Ana Mtoto, Watoto Wamejaa Ka Utitiri, Wengine Hata Hawako Responsible Kwa Makuzi Ya Hao Watoto Wao, Zao Ni Kunywa Pombe Na Kutafuta Hela!

Kwa Style Hii Mwanaume Wakichaga Ni Wakuogopwa Saana Unaeza Kujiona Umepata Kumbe Umepatikana!!
Badilikeni!!

Na wahaya je? naona uanze kuwaambia kwanza wahaya wabadilike ndo uje kuwaambia wengine. Una bahati mbayA umekutana na mchsga wa hivo.
 
Na wahaya je? naona uanze kuwaambia kwanza wahaya wabadilike ndo uje kuwaambia wengine. Una bahati mbayA umekutana na mchsga wa hivo.

wahaya kwakweli yao nayasikia tuu lkn kwa wachaga hapana.. nina marafiki zangu wa kike wanalaaani sana hili kabila! kwakweli mbeleni akija mwanaume wakichaga apo lazma nitoke nduuki maana kwa hizi habari ni hatari saana!
 
Kwakweli Nasikitishwa Saana Na Tabia Za Wanaume Wakichaga Japo Kua Sio Wote Lkn Inaudhi Saana..

Yaani Tabia Ya Kuzalisha Kila Mwanamke Wanaomwona Mzuri, Unakuta kijana Ana Miaka 25 Tu Lkn Kila Girlfriend Aliyekua Naye Ana Mtoto, Watoto Wamejaa Ka Utitiri, Wengine Hata Hawako Responsible Kwa Makuzi Ya Hao Watoto Wao, Zao Ni Kunywa Pombe Na Kutafuta Hela!

Kwa Style Hii Mwanaume Wakichaga Ni Wakuogopwa Saana Unaeza Kujiona Umepata Kumbe Umepatikana!!
Badilikeni!!

pole sana, umekutana na mchaga jina.
 
Hapa napingana na wewe gatizo sio kabila kwan mtu anaetokea kabila lolote anaweza kufanya hiv. Tatizo n hawa wawili ufanya ngono uzembe pasipo kujikinga na mimba zisizo tarajiwa.
 
Tatizo lenu bado mnaile imani ya kutegesha mimba ili muolewe mtazibeba sana mpaka tani 30 na mtazuiwa kwenw y mizan ......tumieni akili
 
Na wahaya je? naona uanze kuwaambia kwanza wahaya wabadilike ndo uje kuwaambia wengine. Una bahati mbayA umekutana na mchsga wa hivo.

Yaaani wanaozalisha ni wachagga tuu ndugu yangu wewe ni Wawapi? Njoo huku usukumani uone kijana Ana miaka 16 ana watoto kama kumi hivi alafu mama tofauti bora hata wachaga Mara 1000! Wanatoaga matumizi wasukuma hata hawajali!
 
Kuzaa ni mipango kama hamjakubaliana kuzaa hakikisha mimba haiingii la sivyo utajuta
 
jamani mambo ya mila , kabila yamekujaje hapa wajameni?

shida haiko kwenye makabila ila ni mtu binafsi na tabia yake si kabila hapo muweke bayana
Yaaani wanaozalisha ni wachagga tuu ndugu yangu wewe ni Wawapi? Njoo huku usukumani uone kijana Ana miaka 16 ana watoto kama kumi hivi alafu mama tofauti bora hata wachaga Mara 1000! Wanatoaga matumizi wasukuma hata hawajali!
 
Kwakweli Nasikitishwa Saana Na Tabia Za Wanaume Wakichaga Japo Kua Sio Wote Lkn Inaudhi Saana..

Yaani Tabia Ya Kuzalisha Kila Mwanamke Wanaomwona Mzuri, Unakuta kijana Ana Miaka 25 Tu Lkn Kila Girlfriend Aliyekua Naye Ana Mtoto, Watoto Wamejaa Ka Utitiri, Wengine Hata Hawako Responsible Kwa Makuzi Ya Hao Watoto Wao, Zao Ni Kunywa Pombe Na Kutafuta Hela!

Kwa Style Hii Mwanaume Wakichaga Ni Wakuogopwa Saana Unaeza Kujiona Umepata Kumbe Umepatikana!!
Badilikeni!!

Nilivutiwa kusoma hii thread yako lakini nilichokikiuta ni tofauti kabisa,hao wanaume wa kichaga huwajui sana sana umefanya kuwasikia tu. Hao wanaume wa kichaga wana tabia za kupora watoto na kuwapeleka kwao na kama usipokomaa inaweza kuwa mwisho wa kumuona au kuwaona hao watoto.
 
Kwakweli Nasikitishwa Saana Na Tabia Za Wanaume Wakichaga Japo Kua Sio Wote Lkn Inaudhi Saana..

Yaani Tabia Ya Kuzalisha Kila Mwanamke Wanaomwona Mzuri, Unakuta kijana Ana Miaka 25 Tu Lkn Kila Girlfriend Aliyekua Naye Ana Mtoto, Watoto Wamejaa Ka Utitiri, Wengine Hata Hawako Responsible Kwa Makuzi Ya Hao Watoto Wao, Zao Ni Kunywa Pombe Na Kutafuta Hela!

Kwa Style Hii Mwanaume Wakichaga Ni Wakuogopwa Saana Unaeza Kujiona Umepata Kumbe Umepatikana!!
Badilikeni!!

kwa nini uzae kabla ya ndoa?hilo nalo ni kosa
 
wahaya kwakweli yao nayasikia tuu lkn kwa wachaga hapana.. nina marafiki zangu wa kike wanalaaani sana hili kabila! kwakweli mbeleni akija mwanaume wakichaga apo lazma nitoke nduuki maana kwa hizi habari ni hatari saana!

Ndio nimekuja , hizo story nipe phone # tuanze yetu.
 
Back
Top Bottom