little hulk
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 1,610
- 558
twashambuliwa like it is a mistake for being that way.........
Hivi unajua ni kwa nini hawahitajiki jeshini? ni pm nikueleze
Warefu kwenda juu au chini?
Speakin from xperience?
Upo kama hivi nini?!
Mungu aniepushie simtaki mwanaume mbilikimo
Halafu Dar ina wanaume wafupi sijui kwa Nini!!
100% sure.
kwenda juu hahahaaaaa
Nawatakia maisha bora ktk ndoa zao,zidumu na kudumu.
Mamaa facebook taratibu na yule nae ni mrefu.
wew mfupi aisee hata mimi nakuzid loo mwanaume aanzie futi 7 huko na kuendelea hahahaaaaaa ngongoti
Wanaume wafupi wabishi, ving'ang'anizi balaa afu wana hasira kidogo tu huhisi kadharauriwa na wana misifa hatari.
ulijuaje
You should be back by now...huh?
naomba nijue ufupi upi unaozungumziwa hapa..je mtu mfupi ni kuanzia ft ngapi...mana naona watu wanachanganya madesa kati ya mbilikimo na average height hapa...je ni ufupi kama wakina AKI na UKWA au ni upi huo?:llama::hail: