Wanaume wafupi ni shida

Wanaume wafupi ni shida

i will be back...............................
 
Yaani wanafikiria badala ya kuitafuta khaa kwani mtu akiwa mfupi mpaka akili inakuwa fupi?
Nakubali watu wa kanda ya ziwa,kigoma,na Arusha kuna wanaume warefu,
Jua kali na hawalali Kwa kufikiria pesa...lol.
 
naomba kuuliza, hivi mrefu anaanzia na futi ngapi?! mimi mwenye futi 5 na inchi 9 ni mrefu au mfupi?! msaada jamani?!

wew mfupi aisee hata mimi nakuzid loo mwanaume aanzie futi 7 huko na kuendelea hahahaaaaaa ngongoti
 
Yaani wanafikiria badala ya kuitafuta khaa kwani mtu akiwa mfupi mpaka akili inakuwa fupi?
Nakubali watu wa kanda ya ziwa,kigoma,na Arusha kuna wanaume warefu,

ila hawawazidi wa uganda loo
 
naomba kuuliza, hivi mrefu anaanzia na futi ngapi?! mimi mwenye futi 5 na inchi 9 ni mrefu au mfupi?! msaada jamani?!

we Ni middle height nadhani wanaizungumziwa hpa Ni wale WA futi 5 na inchi 5 kushuka chini
 
short men tends to be sturbon because of inferiority complex, they feel not respected because if their height
 
Hivi ufupi unaanzia futi/sm/m/nchi ngapi...!?
Au Khantwe anithibitishie kuwa mie mfupi au mrefu?..!teh!
 
Last edited by a moderator:
Kwani unataka kuoa wangapi?

kwa hiyo una uhakiki kwamba mimi nimeoa! au unamanisha nini? ukiona naleta maada usifikiri ni mimi nahusika asilia mia moja. hapo natumia nafsi ya ummoja ili kufikisha ujumbe haraka.
 
Hivi ufupi unaanzia futi/sm/m/nchi ngapi...!?
Au Khantwe anithibitishie kuwa mie mfupi au mrefu?..!teh!

We bwana mi siwezi kukudefine....kwa wafupi haupo kwa warefu haupo
 
Last edited by a moderator:
Watu wafupi ni tatizo sababu wako very inferior kazi kubisha na kujaribu kujionesha wao ni bora kwa maneno kuficha ufup wao... ni kazi sana kudeal nao

vipi wanawake wafupi?
 
Back
Top Bottom