Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Oh my mama....!
Hahahahaa...kwani wewe unajionaje ati...
Oh my mama....!
watu wafupi ni wakorofi sana afu wana gubu hatari...
Sijui nani atanitoa katika mfumo wa wanaume warefu khaaaa haiji tokea
pia hawajiaminiii kabisaaaaaaaaaaaa yan
Halafu Dar ina wanaume wafupi sijui kwa Nini!!
Halafu Dar ina wanaume wafupi sijui kwa Nini!!
teh teh!,sometimes nikiwa ktk maeneo yenye mjumuiko wa watu wengi,huwa napenda kuchunguza wanaume warefu tupo wangapi,huwezi amini,ratio haiendani,warefu tunakuwa wachache sana.
Mate naona kama unamtetea mtu hivi??Mwanaume ni mwanaume tu...urefu hauongezi thamani ya mtu wala ufupi haupunguzi thamani yake....kinachomata ni utu wa ndani...
Mate naona kama unamtetea mtu hivi??
Shemegiiii.............Namtetea nani labda...
Shemegiiii.............
Shemeji yako ni tall usipime.....kumchumu natafuta stuli
hahahaa,kama nguzo ya umeme? haya bwana .
Huu sasa uchokozi mate....nguzo ya umeme tena??
Kama wangu?!Shemeji yako ni tall usipime.....kumchumu natafuta stuli
Upo kama hivi nini?!wew mfupi aisee hata mimi nakuzid loo mwanaume aanzie futi 7 huko na kuendelea hahahaaaaaa ngongoti