Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,585
- 70,586
Arovera jamaa anauliza eti mbona unatufokea? 😂😂Unatangaza bidhaa au unatuelekeza?
Arovera jamaa anauliza eti mbona unatufokea? 😂😂Unatangaza bidhaa au unatuelekeza?
Mwanaume nilazima anuke kibeberu weweeeee na huo ndio uanaumeeKumekuwa na tabia za wanaume hasa hawa wa singeli kuutumia uchafu wao kama ndio uanaume
Unakuta mwanaume kakomaa matako yamepauka yanataka kuwa na upele upele kabisa kisa kutokupaka mafuta, harafu utasikia anasema "mwanaume hapaki mafuta matako"
Imekuwa hivyo hivyo kwa hawa wanaotembea kwa miguu wakiwa wamevaa sendo unakuta miguu imechakaa vumbu harafu utasikia "mwanaume unavaaje soksi"?
Nani aliwaambia wanaume msiwe mnanyoa nywele za kwapani?
Jamani eeeh! Usafi hauchagui mwanaume wala mwanamke usafi ni kwa wote
Usafi ni raha sana,nikipiga jeans yangu ya calvin clein au cardet za pollo,ndani vesti ya Yarrison na shati ya brands kama polo,coctus nk afu mguuni nina buti yangu, ka nivea kwapaniShaver za Dorco buku mbili jero pis tano, dawa ya meno closeup au sensodyne, nivea dry fresh for men Deodorant, taulo zako mbili nywele kama umefuga unanunua shampoo ya grace buku tu, unakua unaziosha unatana zinakaa kwa mpangilio, ndevu unanyoa unaacha uchebe kidogo, jinzi usivae ya kubana sana iwe one colour wala isiwe ya kuchanika magotini, na formsix yako au tishirt round, unaswaki asubuhi na usiku wakati wa kulala, unajifahidi unanunua mouthwash ya listerin buku nane, ukinyoa unayoa kwapani na vuzi la chini, ukioga unapitisha sabuni kwenye tundu za pua , maana hua zinanuka, then pitisha sabuni katikati ya vidole vya miguu na usivae viatu bila miguu kukauka maana itanuka tu kausha vizuri na kitambaa ndio weka soks yako maridadi vaa, boksa walau siku mbili unafua, usiavae boksa za mpira tafuta cotton hata za yarison, deodorant unapaka kwapani, unakua na body spray yako ya blue for men huna haja ya perfume kama uwezo ndio huo, saa yako mkononi tayari uko smart
Nakazia hii! Itakua kapatikana ila wa safari hii kamkera kaona ateme nyongo..Ndege hufananao huruka pamoja.
Punguza speed basiKumekuwa na tabia za wanaume hasa hawa wa singeli kuutumia uchafu wao kama ndio uanaume
Unakuta mwanaume kakomaa matako yamepauka yanataka kuwa na upele upele kabisa kisa kutokupaka mafuta, harafu utasikia anasema "mwanaume hapaki mafuta matako"
Imekuwa hivyo hivyo kwa hawa wanaotembea kwa miguu wakiwa wamevaa sendo unakuta miguu imechakaa vumbu harafu utasikia "mwanaume unavaaje soksi"?
Nani aliwaambia wanaume msiwe mnanyoa nywele za kwapani?
Jamani eeeh! Usafi hauchagui mwanaume wala mwanamke usafi ni kwa wote
😂 nimecheka eti namba D, ila yasemekana pakuchu ni kawaida kunukaIla usiombe ukakutana na hutu tu madem usajiri no D tunajifanya tusafi nje ila ndani sasa ukikapiga doggy style harufu inayotoka uko pakuchu ni hatari mzee wng kwa hiyo sisi wa kiume tuna uafadhari japo wanapenda kusema tuna nuka pumbu
Huyo wako atakua mgogo ndgu wa jobuKumekuwa na tabia za wanaume hasa hawa wa singeli kuutumia uchafu wao kama ndio uanaume
Unakuta mwanaume kakomaa matako yamepauka yanataka kuwa na upele upele kabisa kisa kutokupaka mafuta, harafu utasikia anasema "mwanaume hapaki mafuta matako"
Imekuwa hivyo hivyo kwa hawa wanaotembea kwa miguu wakiwa wamevaa sendo unakuta miguu imechakaa vumbu harafu utasikia "mwanaume unavaaje soksi"?
Nani aliwaambia wanaume msiwe mnanyoa nywele za kwapani?
Jamani eeeh! Usafi hauchagui mwanaume wala mwanamke usafi ni kwa wote
Nimekupa like shoga anguAcheni tujipendee wanaume wanaojua kupenda miili yao, wananukia, hata mkituchamba tu apenda starehe, mimi napenda mwanaume smart kila kona.
Ova.
Kila mtu ni smart kutokana na uwezo wake ulipoishia..Acheni tujipendee wanaume wanaojua kupenda miili yao, wananukia, hata mkituchamba tu apenda starehe, mimi napenda mwanaume smart kila kona.
Ova.
Mimi nawaambia wachafu wote, kuna nyuzi imo humu inauliza eti ni sawa mwanaume kunywa juisi kwa mrija?Mwambie huyo huyo mchumba wako, usichanganye na wengine humu.....kama ni mchafu muelimishi atabadilika
labda ni gestiUnakutana nao wapi hao?
Wapo mtaani wanaonekana sio mpaka kukutana na hata humu wamo piaUnakutana nao wapi hao?