Hapo kwenye boksa siku mbili ndo umeharibu mkuu!
Boksa ni siku moja tu cha kurudia labda ni trouser siyo boksa.
Trust me wanaume wengi tuna boksa tatu au nne wakati kikawaida kila siku inatakiwa boksa yake uanzie kumiliki boksa saba na kuendelea lakini wengi ni tatu nne huo ndio ukweli