sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,435
- 5,102
Women are not less human, they are full functioning being just as men, with biological and social differences.
Miongoni mwa ujinga wa mwanaume
1. Kuamini kua anahaki ya kuzaliwa ya ku cheat kwakua hawezi kuwa na mwanamke mmoja
2. Kutokujua nguvu ya mwanamke katika kulipiza kisasi.
3. Huamini maumivu anayoyapata mwanamke (emotionally) ni madogo kuliko mwanaume.
Mwanaume anaesalitiwa ni yupi?
1. Yeye ni muaminifu hamsaliti mwandani wake. ( Psychological )
2. Anatimiza majukumu ya familia kadri ya uwezo wake ( social and economy)
3. Anatimiza jukumu la ndoa, kwa kadri yeye na mwandani wake wanavyoona inafaa ( biological and emotional)
4. Anasimama kama kiongozi wa familia, akielekeza nini kifanyike ni nini hakifai, mfano anamuona mkewe anaanza mazoea ya shobo kwa wanaume, anampa oyo kali, mke anaeema anaenda kikazi kikazi sehemu fulani, yeye(mume) anajilidhisha na mazingira ya huko, na kama haelewi hamruhusu
Baada ya kua na sifa hizo kisha mke akatoka nje ya ndoa, kwa tamaa ya ziada ya hivyo vitatu, huyo mwanamke ni wakukaa nae mbali, kifupi ni malaya asietosheka. As a man, never have anything to do with a cheater, ditch the bitch out of your occean beach.
Mwanamke anaelipiza kisasi ni yupi ?
1. Ameshamkamata mume wake na mambo ya usaliti kibao, text, call etcetera kwa wanawake tofauti tofauti.
2. Yeye ndio baba wa familia, ajue watoto wamekula nini, wakiumwa na mahitaji yote, while mume ako busy na mambo yake. Yani hafanyi makusudically ila angewesa kufanya.
3. Mume hana time na mke, in short mke anakua yupo kama house girl, sex is only for reproduction purpose, hapa mke anafeel worthless. Akiona anaemvalue, she will bang that niga.
So men, fulfill your responsibility and do not trivialize women emotion.
Extra
" Ndoa iko poa, wanaoitia doa ni machangudoa, eti wakikohoa wameshaitoa, ila wanakokojoa inapita hadi noa, daa asee sio poa.wanosema kataa ndoa wanaboa"
My dedication to my lovely beautiful wife ❤️ .
"Forever and always by Shania Twain"
Miongoni mwa ujinga wa mwanaume
1. Kuamini kua anahaki ya kuzaliwa ya ku cheat kwakua hawezi kuwa na mwanamke mmoja
2. Kutokujua nguvu ya mwanamke katika kulipiza kisasi.
3. Huamini maumivu anayoyapata mwanamke (emotionally) ni madogo kuliko mwanaume.
Mwanaume anaesalitiwa ni yupi?
1. Yeye ni muaminifu hamsaliti mwandani wake. ( Psychological )
2. Anatimiza majukumu ya familia kadri ya uwezo wake ( social and economy)
3. Anatimiza jukumu la ndoa, kwa kadri yeye na mwandani wake wanavyoona inafaa ( biological and emotional)
4. Anasimama kama kiongozi wa familia, akielekeza nini kifanyike ni nini hakifai, mfano anamuona mkewe anaanza mazoea ya shobo kwa wanaume, anampa oyo kali, mke anaeema anaenda kikazi kikazi sehemu fulani, yeye(mume) anajilidhisha na mazingira ya huko, na kama haelewi hamruhusu
Baada ya kua na sifa hizo kisha mke akatoka nje ya ndoa, kwa tamaa ya ziada ya hivyo vitatu, huyo mwanamke ni wakukaa nae mbali, kifupi ni malaya asietosheka. As a man, never have anything to do with a cheater, ditch the bitch out of your occean beach.
Mwanamke anaelipiza kisasi ni yupi ?
1. Ameshamkamata mume wake na mambo ya usaliti kibao, text, call etcetera kwa wanawake tofauti tofauti.
2. Yeye ndio baba wa familia, ajue watoto wamekula nini, wakiumwa na mahitaji yote, while mume ako busy na mambo yake. Yani hafanyi makusudically ila angewesa kufanya.
3. Mume hana time na mke, in short mke anakua yupo kama house girl, sex is only for reproduction purpose, hapa mke anafeel worthless. Akiona anaemvalue, she will bang that niga.
So men, fulfill your responsibility and do not trivialize women emotion.
Extra
" Ndoa iko poa, wanaoitia doa ni machangudoa, eti wakikohoa wameshaitoa, ila wanakokojoa inapita hadi noa, daa asee sio poa.wanosema kataa ndoa wanaboa"
My dedication to my lovely beautiful wife ❤️ .
"Forever and always by Shania Twain"