Wanaume wachache: Huu utafiti umefanyiwa wapi? Na nani? Kwanini?

Twin_Kids

JF-Expert Member
Feb 25, 2016
3,684
5,637
Hivi, huu utafiti umefanyiwa wapi? Na nani? Kwanini? Na ikiwa ni kweli, nani amehalalisha uwe mzinzi? Kwasababu sijaona mkizungumzia kuoa wanawake wengi, bali wazinzi wanazugumnzia kugegeda wanawake wengi. Mkishawapa mimba na kuwakimbia, watoto wasiowajua baba zao, vibaka hawaishi mtaani.

Kibaya zaidi, mnawalaghai watoto under 18 ndo mnawapa mimba, eti wanaume wachache. Huo ndo wema mnaowafanyia wanawake na dada zenu?

Maisha yakiwashinda wanajiuza ili wawalelee, nyie mnakuwa wa kwanza kuwasakama kwamba wanajiuza na wanapenda hela. Chanzo ni bathi ya wanaume wasiojielewa waliotawaliwa na tabia za kingono. Watu sasahivi tunazidiwa akili na wanyama. Badala ya kuwaza maisha, wanawaza ngono tu.

Atakaeguswa najua atanielewa vibaya, lakini ukweli ndo huo.
 
wengine hawatakagi,wenyewe kuolewa ,
wao wanachotaka mtoto au kugegedwa tu ,Ndoa hawana Habar nazo wala hawataki kuskia,

Sio kosa letu
 
Ni kweli wanaume wachache wewe pia fanya tafiti, baadhi ya sehemu zenye mikusanyiko utaona kama tafiti zinadanganya
 
Hivi, huu utafiti umefanyiwa wapi? Na nani? Kwanini? Na ikiwa ni kweli, nani amehalalisha uwe mzinzi? Kwasababu sijaona mkizungumzia kuoa wanawake wengi, bali wazinzi wanazugumnzia kugegeda wanawake wengi. Mkishawapa mimba na kuwakimbia, watoto wasiowajua baba zao, vibaka hawaishi mtaani.

Kibaya zaidi, mnawalaghai watoto under 18 ndo mnawapa mimba, eti wanaume wachache. Huo ndo wema mnaowafanyia wanawake na dada zenu?

Maisha yakiwashinda wanajiuza ili wawalelee, nyie mnakuwa wa kwanza kuwasakama kwamba wanajiuza na wanapenda hela. Chanzo ni bathi ya wanaume wasiojielewa waliotawaliwa na tabia za kingono. Watu sasahivi tunazidiwa akili na wanyama. Badala ya kuwaza maisha, wanawaza ngono tu.

Atakaeguswa najua atanielewa vibaya, lakini ukweli ndo huo.

Hahaha

Wanaposema wanaume wachache wanamaanisha wale ambao wana marinda yao kama una jinsia ya kiume halafu wameyatatua marinda yako unahesabika sio mwAnUme na unakuwa umepunguza idadi ya wanaume original
 
Hadi sasa nimeshazalisha Makabika Matatu Makubwa hapa Tanzania. Ukitoa kwa Makabila 121 nabakiwa na makabila 118 ya kuwazalisha. Karibuni makabila mengineyo tuchanganye vinasaba.
 
mm nikisha jua kwamba tuko wanaume wachache,na mke mko wengi basi mimi huwa natumia fursa kuwala tu ila sili madent.,ni mwendo wa wake zenu tu...
 
Nijuavyo jinsi ya ME ni sawa tu na KE ila sasa kuna tatizo hapa hao ME wako ktk category tatu. Ie wanaume, wavulana na mapunga so tusidanganyane nature ndio iko ivo (ratio ni 1:1).
 
sio wachache ni uongo huo
Kawaida mwanamke anapokuwa kwenye umri Fulani hasa kuanzia miaka 18-26 atawaona wanaume ni wengi sana na pengine utakuwa na uthubutu hata wa kupingana na takwimu za kidunia kuwa wanaume ni wachache.

Lakini subiri ufikishe miaka 30+ hapo kweli ndio utaamini wanaume ni wachache sana kulinganisha na wanawake.
 
Back
Top Bottom